Wazo zuri la biashara katika ufugaji

Wazo zuri la biashara katika ufugaji

Ndo uwezo wako wa kuwaza umeshia?Hilo Pambana na hali yako ndo uwezo wako umekomea?

Usha wahi fuga hata njiwa? au unafugia Jamiiforum? nazani humu ndo kuna Banda lako la kuku.

Endelea kufuga basi soon utauza.
Sibishani na watoto wa kike kama ww
 
Wapee maneno matamu tu hizo hesabu kila mmoja angekuwa tajiri kwa kufuga kuku.

Ufugaji wa kuku sio rahisi kama mnavyo zania.

Hakuna mteremko kamwe hivyo usidanganye watu.

Na wasio jua wataingia kichwa kichwa.
 
Ahhahaa ndio maana wabongo tunaendelea kubaki masikini.......endele ivyo ivyo kuamini huwezi.


Et chakula tani 1.5 nyau weee
Sawa mie Nyau, Ila naimani hujui kifaranga chotara cha wiki moja, mbili, tatu na nne kina kula kiasi gani kwa siku alafu mara 3000. Na kama hujui kuanzia mwishoni mwa wiki ya 2 ulaji wa kifaranga huongezeka maradufu.

Hizi ndio hasara za kuajiri watu kwa matokeo ya nadharia.

Karibu kwenye ulimwengu wa vitendo mkuu.
 
Ha ha ha mkuu bhana,

Huenda mpaka sasa nimefanya ujasiliamali kuliko wewe

Halafu sidhani kama ni busara na akili kuanza kuambizana sima akili

Unafahamu vipi kama sina akili?

Mambo ya kutombewa kwenye ujasiliamali yanaingiaje?

Hapo tu naona kabisa ilitakiwa ubaki kule majukwaa ya MMU ili uongelee vizuri hayo mambo

By the way ukiwa katika majukwaa kama haya kuwa serious kidogo na hii mijadal ya huku ndo maisha yenyewe
Hawa ni wale wanaokariri wakipigwa maswali anapoteana.
Haina shida "ulimwengu ndio mama, jaymoo"
 
Mkuu sijuw kwanini unapenda kukatisha watu tamaa hasa linapo kuja swala la fursa

Ahahah akuna jambo rahisi linapokuja swala la kutafuta pesa.

iyo ni idea nimeandika tu hakuna mahala nilipo andika ni project Simple.

alf ww unatabia za kike, unapenda kuaminisha watu kila kitu ni kigumu kwasababu ww kinakushinda.

Pambana na hali yako
Jamani chondechonde hii game haihitaji kupanick hata kidogo, tuvumiliane,lazima tupate spana la sivyo hivi vyuma havitatuacha salama...Kwi kwi kwi kwi kwi kwi,arooo Jf patam Muraaaa.
 
Back
Top Bottom