jrmlaurence
Member
- Dec 2, 2010
- 80
- 57
Hata uwe kauzu kiasi gani huwezi kujamba wakati unatongoza.
Hata njiwa 'Ana Makinda' lakina hawezi kuwa Spika wa Bunge
Hata uwe bishoo kiasi gani huwezi nyoa kwapa Kiduku
Urefu na Ufupi ni majaliwa ya mwenyezi Mungu '' Vitambi na Mimba ni Juhudi zetu wenyewe.
Hata njiwa 'Ana Makinda' lakina hawezi kuwa Spika wa Bunge
Hata uwe bishoo kiasi gani huwezi nyoa kwapa Kiduku
Urefu na Ufupi ni majaliwa ya mwenyezi Mungu '' Vitambi na Mimba ni Juhudi zetu wenyewe.