sylvesterleonce
Member
- Oct 12, 2010
- 29
- 0
wazalendo wote wanaoipenda nchi yetu TUSIMAME tupaze sauti na tuombe LAANA Ya MUNGU Kwa yeyote ATAKAYE FISADI Au Kuchakachua uchaguzi aidha kutangaza mshindi aliye shindwa kuiba kura kupiga kura kwa msukumo wa rushwa...BASI MUNGU AMFISHE KIFO KIBAYA Mkewe awe KIZUKA Watoto wake wawe yatima mmewe awe mjane... na Watu wote tuseme AMINA Ili tuinusuru nchi yetu...