systemthinking
New Member
- Nov 7, 2015
- 2
- 0
WADAU HABARI,
Nina wazo la kibiashara la kutoa huduma fulani kupitia makampuni ya simu nahitaji mbia/business partner mwenye ujuzi wa maswala ya mobile money/ telecommunication business. Nina imani huduma hiyo itapendwa na wateja wataipata kupitia SMS au application. Huduma hiyo itakuwa pre-paid na kwa kila huduma mtumiaji atakatwa kiasi fulani cha pesa ambacho mwisho wake mimi na mdau atakayejitokeza na kampuni ya simu ya simu itakayohost application tutagawana faida.
Kama upo tayari wasiliana PM
Nina wazo la kibiashara la kutoa huduma fulani kupitia makampuni ya simu nahitaji mbia/business partner mwenye ujuzi wa maswala ya mobile money/ telecommunication business. Nina imani huduma hiyo itapendwa na wateja wataipata kupitia SMS au application. Huduma hiyo itakuwa pre-paid na kwa kila huduma mtumiaji atakatwa kiasi fulani cha pesa ambacho mwisho wake mimi na mdau atakayejitokeza na kampuni ya simu ya simu itakayohost application tutagawana faida.
Kama upo tayari wasiliana PM