Mimi ni Mwana CCM nimejaribu Kuwaza kwa mtazamo wangu na pia kumpunguzia Majukumu ya kichama Rais badala yake yeye awe tu Mjumbe anayeingia moja Kwa Moja kwenye maamuzi ya kichama.
Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.
... endelea kuwaza ujinga. Siku yaja hamtakuwa na rais wala wm mstaafu! Zama zaja enyi wapumbavu; jifunzeni kusoma alama za nyakati. Maandishi ukutani ya wazi ewe mfalme juha!
..Mwalimu Nyerere alipostaafu Uraisi mwaka 1985 aliendelea kuwa Mwenyekiti wa CCM nadhani mpaka mwaka 1990.
..Na alipostaafu uenyekiti wa CCM na kumuachia kijiti Rais Ali Hassan Mwinyi, nakumbuka Mwalimu alimpendekeza Mzee Rashid Mfaume Kawawa kuwa makamu mwenyekiti wa chama.
... endelea kuwaza ujinga. Siku yaja hamtakuwa na rais wala wm mstaafu! Zama zaja enyi wapumbavu; jifunzeni kusoma alama za nyakati. Maandishi ukutani ya wazi ewe mfalme juha!
M/kiti taifa aajiriwe na kamati kuu kwa miaka 5/5
Ila atokane miongoni mwa wenyeviti wa mikoa
Awe na elimu
Msikivu nk
Marais/mawaziri wastaafu kupewa uenyekiti big no,kutakuwa na makundi ya mengi ndani ya chama.
Pia Mali za chama na mapato yawe wazi kwa wanachama.
Hela nyingi awamu 5 zimenunua wapinzani ili MTU mmoja aonekane amekubalika
Mimi ni Mwana CCM nimejaribu Kuwaza kwa mtazamo wangu na pia kumpunguzia Majukumu ya kichama Rais badala yake yeye awe tu Mjumbe anayeingia moja Kwa Moja kwenye maamuzi ya kichama.
Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.