Wazo: Katiba ya CCM ibadilishwe muundo wa Mwenyekiti wa Chama, bali Mwenyekiti atokane na Marais Wastaafu au Mawaziri Wakuu Wastaafu

mazaga one

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
2,463
3,932
Mimi ni Mwana CCM nimejaribu Kuwaza kwa mtazamo wangu na pia kumpunguzia Majukumu ya kichama Rais badala yake yeye awe tu Mjumbe anayeingia moja Kwa Moja kwenye maamuzi ya kichama.

Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Ni mtazamo Wakuu.
 
kwA nchi kama hii,hyo ni hatari kubwa Sana,,,siku watawala wakinuniana ,,tutaletewa huo ugomvi sisi tuuamue
 
Kwa mfumo uliopo ni sahihi Mkit awe nje ya kiti cha urais.

1.Wajumbe hawana Uhuru wakumshauri Mkiti kwakuwa anamakali yote.Dola/Mkiti,yeye ndio kila kitu.
Hivyo Uhuru wakuhoji haupo.

2.Wanachama wanaoongea nje ya vikao ni dhahiri ndani kuna unafiki wakukubali kutokukubaliana.

3.Katiba ya nchi itaheshimika
 
Ungeshauri katiba ya chama chako ibadilishwe kwanza,kuwe na demokrasia inayohubiriwa na chama chako,kama jina la chana lilivyo
 
Kwa mawazo haya mtoa mada wewe sio ccm kama ulivyosema, mwanaccm wa kweli anajua umuhimu wa rais kuwa mwenyekiti wa chama.
 
... endelea kuwaza ujinga. Siku yaja hamtakuwa na rais wala wm mstaafu! Zama zaja enyi wapumbavu; jifunzeni kusoma alama za nyakati. Maandishi ukutani ya wazi ewe mfalme juha!
 
..Mwalimu Nyerere alipostaafu Uraisi mwaka 1985 aliendelea kuwa Mwenyekiti wa CCM nadhani mpaka mwaka 1990.

..Na alipostaafu uenyekiti wa CCM na kumuachia kijiti Rais Ali Hassan Mwinyi, nakumbuka Mwalimu alimpendekeza Mzee Rashid Mfaume Kawawa kuwa makamu mwenyekiti wa chama.
 
... endelea kuwaza ujinga. Siku yaja hamtakuwa na rais wala wm mstaafu! Zama zaja enyi wapumbavu; jifunzeni kusoma alama za nyakati. Maandishi ukutani ya wazi ewe mfalme juha!
Mmmmmhhhhh
 
Kwa mfumo uliopo ni sahihi Mkit awe nje ya kiti cha urais.

1.Wajumbe hawana Uhuru wakumshauri Mkiti kwakuwa anamakali yote.Dola/Mkiti,yeye ndio kila kitu.
Hivyo Uhuru wakuhoji haupo.

2.Wanachama wanaoongea nje ya vikao ni dhahiri ndani kuna unafiki wakukubali kutokukubaliana.

3.Katiba ya nchi itaheshimika
Safi Sana mkuu
 
Ushauri wako Ni mzuri sana. Lkn kwa kuwa unashauri mazwazwa, mambumbumbu yasiyojielewa hautapokelewa katu.

Twaweza walifanya utafiti wakajirridhisha kwamba wanaccm ni hamnazo.
 
M/kiti taifa aajiriwe na kamati kuu kwa miaka 5/5
Ila atokane miongoni mwa wenyeviti wa mikoa
Awe na elimu
Msikivu nk
Marais/mawaziri wastaafu kupewa uenyekiti big no,kutakuwa na makundi ya mengi ndani ya chama.
Pia Mali za chama na mapato yawe wazi kwa wanachama.
Hela nyingi awamu 5 zimenunua wapinzani ili MTU mmoja aonekane amekubalika
 
Mimi ni Mwana CCM nimejaribu Kuwaza kwa mtazamo wangu na pia kumpunguzia Majukumu ya kichama Rais badala yake yeye awe tu Mjumbe anayeingia moja Kwa Moja kwenye maamuzi ya kichama.

Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Ni mtazamo Wakuu.
Hujafikiria kuna siku mnaweza kutokuwa na rais mstaafu?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom