mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Mimi ni Mwana CCM nimejaribu Kuwaza kwa mtazamo wangu na pia kumpunguzia Majukumu ya kichama Rais badala yake yeye awe tu Mjumbe anayeingia moja Kwa Moja kwenye maamuzi ya kichama.
Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Ni mtazamo Wakuu.
Huu ni mtazamo wangu.Na muundo wake Rais Aliyepo madarakani ndiye ateue Majina ya hao Viongozi Wastaafu au wao wachukue Fomu halafu Wajumbe ndiyo wawapigie kura na Kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Ni mtazamo Wakuu.