alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote.
Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.
Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.
Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!
Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu wa Kaya yetu ili pamoja na mambo mengine aweze kumlilia na kumtaka radhi kwa sintofahamu zote alizosisababisha ndani ya Chama na kwa Wananchi pia.
Majuzi akiwa Canada alishtushwa na kutahayaruki mno baada ya Taasisi ya kuwadhibiti wala zisizo za haki kutangaza kuanzishwa upya kwa uchunguzi na kuwatafuta baadhi ya waliokwapua yale mamilioni huku bayana naye akitambua jambo lile halitamwacha salama.
Kuna kila dalili jamaa yetu BM pumzi IMEKATA RASMI!