nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Sukari sasa kilo moja ni Tsh 4500 hii nchi imekuwa kama utawala wa kambale mama ana ndevu baba ana ndevu hakuna hata mbunge waziri au mkurugenzi anaongelea hii hali ccm ipo kimya makonda anapanda farasi na baiskeli tuu hivi ni kweli hawajui hii hali??