Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage: Ukiwa na vyerehani vinne hicho ni Kiwanda kidogo

Viwanda vya vyerehani ambavyo watu wameshikia bango ni viwanda amvavyo Mwijage anatuhamasisha tuwenavyo sisi watu wa kipato cha kawaida katika kuleta maendeleo yetu na watu wanaotuzunguka. Ukiwa na kiwanda cha design ya cherehani au kutengeneza sabuni, kukausha mazao na kupack, kukamua na kupack wine na product zingne niwaz tutaleta maendeleo yetu ya watu wanaotuzunguka kiyrahisi kuliko kusubiri viwanda Vikubwa vya ku assemble magar ambapo tutafaidika na ajira tuu na kubakia katika hali tuliyo nayo.

Wewe hapo ulipo unaweza kuanzisha kiwanda mfano kiwanda cha sabuni aki cost million 7, kiwanda cha kusindika wine akizidi milioni 3, viwanda vya kukamua na kupak mafuta vinaenda mpka milioni 15. Je hapo hujatota ajira!, wewe mwenyewe hujapata!, na bado ni familiy business yenye room ya ku grow!,. Mkuu think big, see the big picture
Bwana ww....wanyaji wa pombe wamefulia utamuuzia nani!? Sasa hv kila nyumba ina cherehani na hawana wateja.

Kwahyo hnaponadi tz ya viwanda mnataka ambavyo kodi yake n laki 2 kwa Mwaka?
 
Viwanda vya vyerehani ambavyo watu wameshikia bango ni viwanda amvavyo Mwijage anatuhamasisha tuwenavyo sisi watu wa kipato cha kawaida katika kuleta maendeleo yetu na watu wanaotuzunguka. Ukiwa na kiwanda cha design ya cherehani au kutengeneza sabuni, kukausha mazao na kupack, kukamua na kupack wine na product zingne niwaz tutaleta maendeleo yetu ya watu wanaotuzunguka kiyrahisi kuliko kusubiri viwanda Vikubwa vya ku assemble magar ambapo tutafaidika na ajira tuu na kubakia katika hali tuliyo nayo.

Wewe hapo ulipo unaweza kuanzisha kiwanda mfano kiwanda cha sabuni aki cost million 7, kiwanda cha kusindika wine akizidi milioni 3, viwanda vya kukamua na kupak mafuta vinaenda mpka milioni 15. Je hapo hujatota ajira!, wewe mwenyewe hujapata!, na bado ni familiy business yenye room ya ku grow!,. Mkuu think big, see the big picture
Mnachekesha sana;
 
Jamani mbona tunapenda ushabiki sana
Alichokisema mh waziri hapo ni sahihi kabisa, tatizo letu ni kuwa wengi wetu hatujui kuna aina ngapi za viwanda

Kuna aina nne za ukubwa kwa kiwanda

Moja, kiwanda kidogo sana, kiwanda cha aina hii, ni kiwanda kilichoajiri watu mpaka 4, na mara nyingi aina hii ya kiwanda huwa na mtaji usiozidi milioni 5 za kitanzania

Mbili, kiwanda kidogo, kiwanda cha namna hii mara nyingi uajiri watu zaidi ya 5 mpaka 40, mtaji wa kiwanda na namna hii ni zaidi ya milioni 5 mpaka milioni 200

Tatu, kiwanda cha kati, hiki ni kiwanda kilicho na uwezo kuajiri watu zaidi ya 40 mpaka 100, na mtaji wake ni zaidi ya milioni 200 mpaka nilioni 800

Nne, ni kiwanda kikubwa, hiki uajiri watu zaidi ya 100, na mtaji wake ni zaidi ya milioni 800 na kuendelea

Sasa kwa aina ya uchumi wetu, watanzania tulio wengi tunauwezo wa kuanzisha viwanda vidogo sana na viwanda vidogo, hivyo basi serikali imetilia mkazo viwanda vya aina hii zaidi, kwani ndivyo viwanda vyenye uwezo wa kutoa ajira kwa wingi, na tena viwanda vya aina hii vinauwezo wa kukua na kuja kuwa viwanda vya kati na vikubwa

Hivyo kwa maana hiyo ni kweli kabisa mtu mwenye vyerehani 4, huyo anamiliki kiwanda kidogo sana, kwani ameajiri watu 4 na kuwekeza mtaji usiozidi milioni 5

Hivyo basi natoa wito,tumuunge mkono mh Rais katika kutekeleza malengo ya kufikia nchi ya uchumi wa kati ifikapo 2025, tukumbuke tukifeli kufikia malengo hayo, ajafeli mh Rais pekee tutakuwa tumefeli wote kama taifa
Huo ndio uchumi wa viwanda mlioahidi?
 
Huyu anajua anachokisema. Sio mjinga huyu, ni mwelevu sana. JPM anaimba viwanda, sasa anatafuta aseme nini kuwa inline with JPM. Anajua fika anachokisema! Ukija utawala usiokuwa wa hofu atasema sense!
 
ukiwa na wake wanne pia una kiwanda cha kuzalisha
Teh teh, kwa mantiki hiyo waislamu wote waliotimiza suna ya ndoa wana viwanda majumbanii mwao!!! Kudadeki, bongo ina vi-wonder vingi kuliko USA!
 
Bwana ww....wanyaji wa pombe wamefulia utamuuzia nani!? Sasa hv kila nyumba ina cherehani na hawana wateja.

Kwahyo hnaponadi tz ya viwanda mnataka ambavyo kodi yake n laki 2 kwa Mwaka?
Tuwe positive kuna viwanda vingi sana watanzania wa kawaida tunaweza anzisha vinavyotoa bidhaa tunazotumia kila cku mfano: toothpik, sabuni, seasoning vyakula mbalimbali. Plaform yakuanzisha hivyo viwanda ipo market ipo ni sisi kujiongeza tuu.
 
kwani kuwa mfugaji lazima huwe na kuku mia,hata mmoja ni mfugaji.uja muelewa mtoa uzi
 
Serikali inatakiwa imejitaarisha kwanza kabisa na kuweka mikakati madhubuti katika kuelekea kwenye Tanzania ya viwanda, wenzetu inchi ziloendelea wana industrial zone ni zone maalum kwa industry tu, pia wana vipao mbele ya viwanda hivyo waweze kujua kuna vipao mbele gani katika mkakati wa viwanda, kwa awamu ya kwanza kunahitajika viwanda gani, au vya aina gani viwe viwanda vidogo vidogo vingapi na vyanini na viwanda vya kati ni vipi na vingapi ma viwanda vya viwango vya juu ni vingapi, ila hivi viwanda vya kufikirika tu, na vya kukurupuka ni khatari kwa taifa letu, naishauri serikali kwanza kujitaarisha ili Tanzania iwe Tanzania ya viwanda,
kuna masuala ya kujiuliza kwa mfano :-
je tunahitaji mkoa wa kiviwanda ?
je tunahitaji kila mkoa uwe na induatrial zone ?
je tunahitaji kila mkoa wenye zao la kibiashara kuwe na kiwanda ambacho kitasaidia ku support zao hilo?
je tuna miundo mbinu bora ndani ya tanzania nzima kuimarisha usafirishaji na ubora wa viwanda?
je tuna umeme wa kutosha kwa ku support mega watt kadhaa ambazo ambazo zitakuwa na mlingano na idadi ya viwanda vilivyokadiriwa kwa muwa maalum ndani ya mpango wa serikali?
Je wananchi wetu wana uwezo wa kitaaluma kwa hivyo viwanda selikali itakavyotaka viwepo ?

au raisi alikurupuka katika kampeni ndio maana serikali bado haijielewe juu ya mkakati wa viwanda
 
Mkuu;
Acha tu watu tukae kimya, kwa sababu hatujui; "defition" ya neno kiwanda.. Jamani tukiandika kikwetu bado tutaeleweka. Acheni lugha za watu zikae nao wenyewe.
Defition yani nimecheka mpaka basi ama kweli kiswahili ni kizuri mkuu lugha za watu tuwaachie wenyewe.
 
Baada ya viwanda halisi kushindikana sasa wamekuja na mbinu hii, ina maana mapovu yote yale ya magu kwamba nchi hii itakuwa ya viwanda kumbe viwanda vyenyewe ndio hivi.
Tunakoelekea tutakuja kuambiana hapa hata mama lishe ni viwanda kwa kuwa tu wanabadilisha malighafi za vyakula kuwa vyakula kamili.
 
Kuna siku nilimsikia kule klauz akisema haya mambo ya cherehan 4 kuwa kiwanda nikajua ni kwa saabu redio ni ya burudani heeehhee kumbe ze guy is siriaz!! twafaaa
 
Ndio maana tunaambiwa tanzania kuna zaidi ya viwanda elfu tano kumbe wana maana hii.
 
duuh ngoja nijicheki vizuri unaeza kukuta namie ni kabaharesa fulani hlf sijijui...
 
Hahahahaah, mkuu nmcheka sana! Naona mnautani mwijage!
Industry combined different number of firms of production, firm combined different number of plants, plants (machines) ndo factors of production
Mkuu si umemsikia lakini Mhe Waziri? sisi tunafuata mwongozo wa Waziri.
 
Back
Top Bottom