Waziri wa ulinzi na JKT amkabidhi gari moja jenerali Mstaafu Chelestino Msola

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
795
506
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI GARI MOJA JENERALI CHELESTINO MSOLA (MSTAAFU)

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 30 Aprili, 2024 amemkabidhi Meja Jenerali Chelestino Elias Msola (Mstaafu), gari jipya la kisasa ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wa utumishi wake kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla.

Waziri Tax amempongeza Jenerali Msola (Mstaafu) kwa Utumishi wake wa uadilifu na uaminifu na kustaafu kwa heshima na akamtakia kila la kheri katika maisha mapya ya kustaafu.

Waziri wa Ulinzi na JKT amemshukuru Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Wanajeshi katika Ulinzi na maendeleo ya Taifa.

Aidha, Waziri Tax alimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuhakikisha magari ya Wastaafu yananunuliwa kwa wakati.

Hafla hiyo ya kumkabidhi gari Jenerali mstaafu Msola, ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe.

20240501_053312.jpg
20240501_053304.jpg
20240501_053309.jpg
 
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI GARI MOJA JENERALI CHELESTINO MSOLA (MSTAAFU)

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 30 Aprili, 2024 amemkabidhi Meja Jenerali Chelestino Elias Msola (Mstaafu), gari jipya la kisasa ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wa utumishi wake kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla.

Waziri Tax amempongeza Jenerali Msola (Mstaafu) kwa Utumishi wake wa uadilifu na uaminifu na kustaafu kwa heshima na akamtakia kila la kheri katika maisha mapya ya kustaafu.

Waziri wa Ulinzi na JKT amemshukuru Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Wanajeshi katika Ulinzi na maendeleo ya Taifa.

Aidha, Waziri Tax alimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuhakikisha magari ya Wastaafu yananunuliwa kwa wakati.

Hafla hiyo ya kumkabidhi gari Jenerali mstaafu Msola, ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe.
Hizi nazo zimo kwenye kikokotoo? Nchi moja vikokotoo vya kibaguzi, wake wa marais wanakikokotoo chao, marais wanavikokotoo vyao, spika wa Bunge anakikokotoo chake! Viongozi wa jeshi wana vikokotoo vyao, vimenona!
 
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI GARI MOJA JENERALI CHELESTINO MSOLA (MSTAAFU)

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 30 Aprili, 2024 amemkabidhi Meja Jenerali Chelestino Elias Msola (Mstaafu), gari jipya la kisasa ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wa utumishi wake kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla.

Waziri Tax amempongeza Jenerali Msola (Mstaafu) kwa Utumishi wake wa uadilifu na uaminifu na kustaafu kwa heshima na akamtakia kila la kheri katika maisha mapya ya kustaafu.

Waziri wa Ulinzi na JKT amemshukuru Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Wanajeshi katika Ulinzi na maendeleo ya Taifa.

Aidha, Waziri Tax alimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuhakikisha magari ya Wastaafu yananunuliwa kwa wakati.

Hafla hiyo ya kumkabidhi gari Jenerali mstaafu Msola, ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe.
Kumbe tuna Majenerali wengi nilikuwa sijui! 😎😎😎

Huyo hakuwa Meja Jenerali? Jenerali anakuwa ni Mkuu wa JWTZ
 
Very interesting 🤔
Kumbe kuna kupeana zawadi ya magari kwa kustaafu? Barabara za mitaani zimegeuka kuwa mitaro wakati kodi zetu zikitumika kununua magari ya zawadi?
 
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI GARI MOJA JENERALI CHELESTINO MSOLA (MSTAAFU)

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 30 Aprili, 2024 amemkabidhi Meja Jenerali Chelestino Elias Msola (Mstaafu), gari jipya la kisasa ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wa utumishi wake kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla.

Waziri Tax amempongeza Jenerali Msola (Mstaafu) kwa Utumishi wake wa uadilifu na uaminifu na kustaafu kwa heshima na akamtakia kila la kheri katika maisha mapya ya kustaafu.

Waziri wa Ulinzi na JKT amemshukuru Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Wanajeshi katika Ulinzi na maendeleo ya Taifa.

Aidha, Waziri Tax alimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuhakikisha magari ya Wastaafu yananunuliwa kwa wakati.

Hafla hiyo ya kumkabidhi gari Jenerali mstaafu Msola, ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe.

View attachment 2977905View attachment 2977906View attachment 2977907
Nchi ngum sana hii, napendekeza askari wetu wote wastaafu wapewe magari
 
Father kasimamia
kijeshi kabisa.
WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI GARI MOJA JENERALI CHELESTINO MSOLA (MSTAAFU)

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 30 Aprili, 2024 amemkabidhi Meja Jenerali Chelestino Elias Msola (Mstaafu), gari jipya la kisasa ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wa utumishi wake kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla.

Waziri Tax amempongeza Jenerali Msola (Mstaafu) kwa Utumishi wake wa uadilifu na uaminifu na kustaafu kwa heshima na akamtakia kila la kheri katika maisha mapya ya kustaafu.

Waziri wa Ulinzi na JKT amemshukuru Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Wanajeshi katika Ulinzi na maendeleo ya Taifa.

Aidha, Waziri Tax alimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuhakikisha magari ya Wastaafu yananunuliwa kwa wakati.

Hafla hiyo ya kumkabidhi gari Jenerali mstaafu Msola, ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe.

View attachment 2977905View attachment 2977906View attachment 2977907
 
Back
Top Bottom