Waziri wa Ujenzi Zanzibar akosa samaki mnadani

HPLC

Senior Member
Jul 29, 2015
186
133
Hali ya kisiasa kisiwan unguja imeendelea kuwa tata baada ya wazir kushindwa kupata kitoeo cha samaki juzi mnadan hali ilikuwa hiv mnadan

Muuzaji ;samak huyu 2000/= bei ya kwanza????

Mteja 1# 2500

Muuzaji # 2500 mara ya kwanza ??? Mara ya pili??

Mteja 2# 4000

Muuzaji # 4000 mara ya kwanza

Mteja 3# 5000

Muuzaji # 5000 mara ya kwanza

Waziri # 10000

Muuzaji# 10000 mara ya kwanza kimya ;mara 2 kimya mara 3 kimya


Muuzaji# aliyeshinda huyu wa 5000 maana ndo demokrasia ya hapa zanzibar

Waziri kwa hasira kapanda gar lake kaondoka
Source :mm mwenye hapa soko la samaki

My take tusifike huko je wew umelewa nn tafsir ya muuza samaki
 
Hali ya kisiasa kisiwan unguja imeendelea kuwa tata baada ya wazir kushindwa kupata kitoeo cha samaki juzi mnadan hali ilikuwa hiv mnadan

Muuzaji ;samak huyu 2000/= bei ya kwanza????

Mteja 1# 2500

Muuzaji # 2500 mara ya kwanza ??? Mara ya pili??

Mteja 2# 4000

Muuzaji # 4000 mara ya kwanza

Mteja 3# 5000

Muuzaji # 5000 mara ya kwanza

Waziri # 10000

Muuzaji# 10000 mara ya kwanza kimya ;mara 2 kimya mara 3 kimya


Muuzaji# aliyeshinda huyu wa 5000 maana ndo demokrasia ya hapa zanzibar

Waziri kwa hasira kapanda gar lake kaondoka
Source :mm mwenye hapa soko la samaki

My take tusifike huko je wew umelewa nn tafsir ya muuza samaki
Safi saaana
 
Duu huko had kitoweo ni mnada!!
Lakn asingekuwepo hata wa hela yeyeyote ningegawa kwa asiye na hela lakn sio kwa mnafiki
 
Kwamba democrasia yao ni kwamba anayeshinda hapew hila yule aliyeshindwa
 
Njia ambayo wazanzibari wanatumia kufikisha ujumbe kwa viongozi wa SMZ ni nzuri mana ni ya Amani, hugombani na mtu. Naskia saiv wapemba wanasusia kupanda MV mapinduzi, Meli yenyewe tango capo manzo hasara na salvi nanna itazidi kuwa hasara... Wamepatikana mara hit SMZ :-D
 
Hahahahaha hahahaha afadhali nimecheka du! Zanzibar sio wa nchi hii
 
Back
Top Bottom