Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hakika inasikitisha sana Kuona Mh RAIS SAMIA Anavyohangaika kutafuta Pesa za Maendeleo halafu kuna Mchwa kwenye HALMASHAURI wanatafuna hizo Pesa kama zao na WAZIRI YUPO Hatusikii Hatua zozote za kupambana na WIZI huo.
Binafsi nadhani kungewekwa SHERIA ya wote watakaothibitika kuwa Wameiba hizo Fedha MALI zao zitaifishwe kufidia Huo WIZI
Pia ni Vema UWEZO wa huyu WAZIRI mwenye Dhamana Ukaangaliwa kwani Dalili zinaonyesha AMESHINDWA kudhibiti huo WIZI.
Binafsi nadhani kungewekwa SHERIA ya wote watakaothibitika kuwa Wameiba hizo Fedha MALI zao zitaifishwe kufidia Huo WIZI
Pia ni Vema UWEZO wa huyu WAZIRI mwenye Dhamana Ukaangaliwa kwani Dalili zinaonyesha AMESHINDWA kudhibiti huo WIZI.