Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kazi ipo wakulu sasa naamini kumbe tukiamua tunaweza dowans wasilipwe na mawaziri husika kuondoka....naona kwenye nyuzi mh waziri wa sheria na balozi wa libya india wameamua kujiuzulu na kuunga mandamano yanayoendelea nchini mwao...wengine ni balozi wa libya kwenye nchii za kiarabu nae amejiuzulu....
Kazi ipo,...
Kazi ipo,...