Ana haki. Tena namwomba asiamke asubuhi amkute huyo PS wake pale ofisini. Awe ameshakusanya kila kilicho chake aende makwao.
Prof. Muhongo ni mtu wa maana sana TZ. Ameombwa aje kushika wadhifa huo, yeye ana ofisi kulee Sauzi, we unampakia class gani eti. Sijui economy, economy gani wakati anaponda zake za mwisho wa Maccm? Unafikiri hajui ni za mwisho mwisho hizo?
Pengine alikuwa anaenda kuusaini mkataba wa vitalu kama 10 hivi kwa kabaila mmoja hukoo ni shs ngapi ataleta hazina. Pole sana Prof. Naomba tuwie radhi sisi tunaokaa huku uswazi tupe tu kaumeme kidogo kwa hisani yako. Hatujamtuma huyo PS wako akosee namna hiyo. Tusaidie tu baba sie Matonya wa huku uswazi tupate tone la umeme. Leo nakupa B/up Mhishimiwa, yule mgawaji kasahau huku kwetu hajakata tangu asubuhi. Huenda alifikiri ulisafiri.
MaSii sii eem Hoyeee 2015 is just very near. Mtayalamba matapishi yenu kwenye sanduku la kura tu