unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Matokeo ya kura za maoni Jimbo la Kibakwe,
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene amekuwa kati ya mawaziri wa Serikali ya Kikwete walioshinda kwa kishindo katika Jimbo la Kibakwe baada ya kuwaacha wapinzani wake mbali sana. Matokeo hayo ni Kama ifuatavyo
1. Simbachawene18,158
2. Mwanyinge 6901
3. Mnyang'ali 3562
4. Sabas 430
5. Ngiliule 214
6. Bendela 410
7. Shahel. 279
Simbachawene huyoooooo anawatimulia vumbi
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene amekuwa kati ya mawaziri wa Serikali ya Kikwete walioshinda kwa kishindo katika Jimbo la Kibakwe baada ya kuwaacha wapinzani wake mbali sana. Matokeo hayo ni Kama ifuatavyo
1. Simbachawene18,158
2. Mwanyinge 6901
3. Mnyang'ali 3562
4. Sabas 430
5. Ngiliule 214
6. Bendela 410
7. Shahel. 279
Simbachawene huyoooooo anawatimulia vumbi