nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Mheshimiwa Waziri, kwa heshima kubwa nakuomba uangalie kinachoendelea OFISI ZA NIDA TEMEKE, ni rushwa pamoja lugha chafu kwa watumishi wake.
Mara nyingi tunapotoa malalamiko huwa wanasema ni wivu na uongo, vijana wangu wa Chuo wamekamilisha kila kitu wamesharushwa na kupewa wiki 3 mara hii ya 3 Sasa kwahiyo ni wiki 9 lakini mzazi mmoja jirani yangu akaniambia nitoe 50000 nikakataa ili nijiridhishe na kweli alitoa kwa kijana mwingine bila barua ya serikali za mitaa ni cheti tuu cha kuzaliwa kapewa siku 7 tayari anakitambulisho.
Nakuomba hawa vijana wanaosoma vyuo vikuu na taasisi za elimu ambao washafikisha miaka 18 wafuatwe hukohuko NIDA za wilaya zimekuwa rushwa tupuu.
Mara nyingi tunapotoa malalamiko huwa wanasema ni wivu na uongo, vijana wangu wa Chuo wamekamilisha kila kitu wamesharushwa na kupewa wiki 3 mara hii ya 3 Sasa kwahiyo ni wiki 9 lakini mzazi mmoja jirani yangu akaniambia nitoe 50000 nikakataa ili nijiridhishe na kweli alitoa kwa kijana mwingine bila barua ya serikali za mitaa ni cheti tuu cha kuzaliwa kapewa siku 7 tayari anakitambulisho.
Nakuomba hawa vijana wanaosoma vyuo vikuu na taasisi za elimu ambao washafikisha miaka 18 wafuatwe hukohuko NIDA za wilaya zimekuwa rushwa tupuu.