Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amekuwa Wilayani Urambo katika ziara ya kikazi ya kimkakati ya kutembelea, kukagua na kujionea maendeleo ya Kazi ya Utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 kwa Miji ya Urambo, Kaliua na Sikonge
Akiwa maeneo ya matukio Waziri Aweso ameshuhudia ulazaji wa bomba la milimita 300 Kijiji cha Kalemela B, Urambo
Aidha, amekagua ujenzi wa matenki mawili katika kijiji cha Kalemela B, Urambo lenye ujazo wa Lita 2,000,000 na tenki la Misheni, Sikonge lenye ujazo wa Lita 1,000,000
Chanzo: ITV
Akiwa maeneo ya matukio Waziri Aweso ameshuhudia ulazaji wa bomba la milimita 300 Kijiji cha Kalemela B, Urambo
Aidha, amekagua ujenzi wa matenki mawili katika kijiji cha Kalemela B, Urambo lenye ujazo wa Lita 2,000,000 na tenki la Misheni, Sikonge lenye ujazo wa Lita 1,000,000
Chanzo: ITV