Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,765
- 10,639
Wakuu, mnazungumziaje tabia iliyokomaa ya kuuza matunda mabichi? Yaani taifa letu limekuwa la ajabu kwa kuhalalisha mambo ya kijinga kweli kweli. Mfano embe changa, pilipili changa, matikiti machanga na sasa machungwa machanga. Kwa nini serikali imeridhia biashara hii haramu ya vyakula vichanga? Embe zinaliwa kwa chumvi na pilipili kitu kinachokera sana