Waziri wa Fedha ndie kila kitu, Magufuli akichemsha hili, basi

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,899
Watu wengi wanajiuliza waziri mkuu atakuwa nani..
Ukweli utawala wowote Waziri wa Fedha ndio kila kitu

ndie atakae run the economy.....na mipango na najeti zote kupitia kwake..

Binafsi niko curious kujua nani Magufuli atamteua awe waziri wa Fedha

nikishajua nani na ana sifa zipi ndio ntajua utawala wa Magufuli utafanikiwa au la...

Waziri mkuu sio muhimu kama waziri wa Fedha.....kosa kubwa la Kikwete lilikuwa hapa

kutwa alichagua marafiki au wanasiasa to run the economy.....
je Magufuli atakua tofauti?

Mnaomtaja Mwigulu Nchemba mnachekesha sana...Mwigulu anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani

To run the economy ni very serious task....

Hawa ni my favorites....

1. Arnold Kileo
2.Hamisi Kibola
3.Idrissa Rashid
4.Benno Ndulu
5 Harry Kitilya
6.Rished Bade
 
Ila mkuu umenena vyema sana hawa vilaza waliopita wameharibu sana uchumi wa taifa letu
 
Saada Mkuya

Saada Mkuya hamna kitu
wasome vizuri CV za hao niliowataja

Huyo Arnold Kileo alichukua bank iliyokuwa inapata hasara akai turn around
hadi hiyo bank kuikopesha serikali pesa za bajeti....imagine that....Kikwete kaenda kukopa pesa kwenye bank
ambayo huyu mtu ameigeuza kutoka loss hadi profits
 
Kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri ni kwamba, JK alirithi baadhi ya mawaziri kutoka serikali ya Mkapa.
Hao mawaziri walifanya kazi nzuri sana kipindi cha Mkapa lakini kwa JK wakawa wazembe.
Sijui tunajifunza nini hapo??
 
watu wengi wanajiuliza waziri mkuu atakuwa nani..
Ukweli utawala wowote waziri wa fedha ndio kila kitu

ndie atakae run the economy.....na mipango na najeti zote kupitia kwake..

Binafsi niko curious kujua nani magufuli atamteua awe waziri wa fedha

nikishajua nani na ana sifa zipi ndio ntajua utawala wa magufuli utafanikiwa au la...

Waziri mkuu sio muhimu kama waziri wa fedha.....kosa kubwa la kikwete lilikuwa hapa

kutwa alichagua marafiki au wanasiasa to run the economy.....
Je magufuli atakua tofauti?

Mnaomtaja mwigulu nchemba mnachekesha sana...mwigulu anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani

to run the economy ni very serious task....

Hawa ni my favorites....

1. Arnold kileo
2.hamisi kibola
3.idrissa rashid
4.benno ndulu
5 harry kitilya
6.rished bade
7. Dr ramadhani dau
 
Kama mtakuwa na kumbukumbu nzuri ni kwamba, JK alirithi baadhi ya mawaziri kutoka serikali ya Mkapa.
Hao mawaziri walifanya kazi nzuri sana kipindi cha Mkapa lakini kwa JK wakawa wazembe.
Sijui tunajifunza nini hapo??

Soma vizuri hatuzungumzii'mawaziri'
tunazungumzia 'waziri' wa fedha
Jk hakuchukua team ya mkapa ya uchumi
mkapa alikuwa na Daniel Yona na Iddi Simba

Jk alianza na Zakhia Meghji hadi kina Mustafa Mkulo
hapo ndo alipo chemsha
 
Membe na January Makamba pia mwigulu wapo chimbo na wale waganga wao wa kienyeji waliowaleta toka Mataifa mbalimbali kuja kudhoofisha Ukawa pia kutuliza mizuka ya Magufuli juu ya ufujaji wa pesa za kampeni, kila mmoja anaombea Magufuli amteue wizara ya Ulaji mwingi, Membe anaitaka Uwaziri mkuu wa Udi na uvumba kwani katumia Mabilioni ya marehemu Gadafi kuwahujumu Ukawa hadi ccm wamepora Ushindi, sasa anataka Uwaziri mkuu au ikishindikana apewe wizara ya Nishati na madini apige pesa arejeshe gharama zake, Mwigulu yeye anataka awe Waziri kamili wa fedha huku January akitaka wizara ya mambo ya nje au wizara ya ulinzi au wizara ya viwanda na biashara. Kamati zao za Ufundi wameziomba zisiondoke kwanza mpaka Magufuli atekeleze matakwa yao.
 
Watu wengi wanajiuliza waziri mkuu atakuwa nani..
Ukweli utawala wowote Waziri wa Fedha ndio kila kitu

ndie atakae run the economy.....na mipango na najeti zote kupitia kwake..

Binafsi niko curious kujua nani Magufuli atamteua awe waziri wa Fedha

nikishajua nani na ana sifa zipi ndio ntajua utawala wa Magufuli utafanikiwa au la...

Waziri mkuu sio muhimu kama waziri wa Fedha.....kosa kubwa la Kikwete lilikuwa hapa

kutwa alichagua marafiki au wanasiasa to run the economy.....
je Magufuli atakua tofauti?

Mnaomtaja Mwigulu Nchemba mnachekesha sana...Mwigulu anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani

To run the economy ni very serious task....

Hawa ni my favorites....

1. Arnold Kileo
2.Hamisi Kibola
3.Idrissa Rashid
4.Benno Ndulu
5 Harry Kitilya
6.Rished Bade


sasa uliowataja mfano bade ana kitu gani alichofanya outstanding au idrisa ambae tanesco ilimshinda.anodi kileo tbl ilimshinda pia labda benno
 
Membe na January Makamba pia mwigulu wapo chimbo na wale waganga wao wa kienyeji waliowaleta toka Mataifa mbalimbali kuja kudhoofisha Ukawa pia kutuliza mizuka ya Magufuli juu ya ufujaji wa pesa za kampeni, kila mmoja anaombea Magufuli amteue wizara ya Ulaji mwingi, Membe anaitaka Uwaziri mkuu wa Udi na uvumba kwani katumia Mabilioni ya marehemu Gadafi kuwahujumu Ukawa hadi ccm wamepora Ushindi, sasa anataka Uwaziri mkuu au ikishindikana apewe wizara ya Nishati na madini apige pesa arejeshe gharama zake, Mwigulu yeye anataka awe Waziri kamili wa fedha huku January akitaka wizara ya mambo ya nje au wizara ya ulinzi au wizara ya viwanda na biashara. Kamati zao za Ufundi wameziomba zisiondoke kwanza mpaka Magufuli atekeleze matakwa yao.

katiba ipi inamruhusu rais kuteua waziri mkuu asochaguliwa na wananchi,membe ni kidude gani hicho
 
sasa uliowataja mfano bade ana kitu gani alichofanya outstanding au idrisa ambae tanesco ilimshinda.anodi kileo tbl ilimshinda pia labda benno

Wewe unaongea kishabiki au kwa habari za mitaani
Kileo TBL ilimshinda vipi?
wakati hadi anaondoka TBL ndo ilikuwa kampuni inayolipa kodi nnyingi kuliko zote?

Idrisaa ameondoka Tanesco hakuna mgao na kuvuta umeme ni siku saba tu...

Bade ameongeza mapato TRA na ana historia ya kupunguza excessive spending
kabla ya hapo ametoka kwenye bank aliyoiongoza kwa faida...sana
 
Back
Top Bottom