The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Watu wengi wanajiuliza waziri mkuu atakuwa nani..
Ukweli utawala wowote Waziri wa Fedha ndio kila kitu
ndie atakae run the economy.....na mipango na najeti zote kupitia kwake..
Binafsi niko curious kujua nani Magufuli atamteua awe waziri wa Fedha
nikishajua nani na ana sifa zipi ndio ntajua utawala wa Magufuli utafanikiwa au la...
Waziri mkuu sio muhimu kama waziri wa Fedha.....kosa kubwa la Kikwete lilikuwa hapa
kutwa alichagua marafiki au wanasiasa to run the economy.....
je Magufuli atakua tofauti?
Mnaomtaja Mwigulu Nchemba mnachekesha sana...Mwigulu anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
To run the economy ni very serious task....
Hawa ni my favorites....
1. Arnold Kileo
2.Hamisi Kibola
3.Idrissa Rashid
4.Benno Ndulu
5 Harry Kitilya
6.Rished Bade
Ukweli utawala wowote Waziri wa Fedha ndio kila kitu
ndie atakae run the economy.....na mipango na najeti zote kupitia kwake..
Binafsi niko curious kujua nani Magufuli atamteua awe waziri wa Fedha
nikishajua nani na ana sifa zipi ndio ntajua utawala wa Magufuli utafanikiwa au la...
Waziri mkuu sio muhimu kama waziri wa Fedha.....kosa kubwa la Kikwete lilikuwa hapa
kutwa alichagua marafiki au wanasiasa to run the economy.....
je Magufuli atakua tofauti?
Mnaomtaja Mwigulu Nchemba mnachekesha sana...Mwigulu anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
To run the economy ni very serious task....
Hawa ni my favorites....
1. Arnold Kileo
2.Hamisi Kibola
3.Idrissa Rashid
4.Benno Ndulu
5 Harry Kitilya
6.Rished Bade