Waziri wa Fedha: Nchi inapita kwenye kipindi kigumu, wafadhili wamepunguza misaada

Ukweli huwa haufichiki hata uufiche vipi, hivyo ni bora amesema ukweli kuliko kuendelea kuchelewesha huo ukweli wa mambo.
Ivi ingekuwa ww ndio boss wa hyo wizara ungeyasema hayo ya ukweli halafu utumbuliwe au ungepiga kimya ilmradi watoto waende shule
Nyie ndo mnajifanyaga maskini jeuri
 
Huo upuuzi wa kuungana na watesi na waliotusababiahia Maisha magumu kimaisha hatutaufanya kamwe,hatua tulifikia ni heri tukose wote tuu. The Hard Way The Only Way.
Nyoka alijifanya kutema mate akasau yupo ndani ya shimo fupi mnoo sasa kasikia vishindo vya wanaume juu ya ardhi anaanza kujinyea hapo hajamwagiwa mafuta ya taa na oil chafu, wanaume wataendelea kumjambisha tu na soon atatoka shimoni mwenyewe tena akiwa hajimudu kabsaaaa! hii vita inahitaji akili kubwa sio kichwa hata kb hakina halafu kinaimba vita ya uchumi, nyerere pamoja na exposure yake alichemka big time sembuse huyu kichaa. Kujifunga mkanda wakati kiuno chenyewe nyigu lazima ashindwe tu!
 
Siamimi maneno yake RAIS WETU KATUAMBIA PESA TUNAZO ZA KUTOSHA NA TUNAJENGA NA KUFANYA YETU KWA PESA ZA NDANI PEKEE
 
hizo sababu nyingine zote tunaweza tukakubaliana nazo wala hamna shida ila kwenye ushoga hatutaki ndio maana wanatubania
Yaani tunaweza kufanya siasa hizo wanazotaka wao pia demokrasia hiyo wanayotaka wao Lakini ushoga hatutaki hapo ndio tunapokosana ndio maana tukasema tatizo ni ushoga tu hakuna lingine
 
Kugawanyika kwenda wapi?Iko wazi upinzan wanasapoti wazungu waweke vikwazo na ndio nature ya siasa za Africa. Hata Libya kuna watu walikua upande wa wazungu.Lkn akili sasa zimeanza kuwarud kuwa hawajamaa walitupotosha. Kama unaona uhuru huu ni mdogo kwako basi fanya ujinga, lkn naamini kuna siku hata hii jf tu utaitafuta kwa tochi

Wapinzani wana sababu za msingi za kuwasupport wazungu, na hakuna tofauti kwani ccm wanawasupport wachina. Utakuwa unachekesha walionunua kwa kuwaona wazungu hawafai,halafu hapo hapo uone wachina wanafaa! Sababu wazungu wanahoji ubazazi wa hii serekali ndio mnajifanya wazungu hawafai, na kwa vile wachina hawahoji uhayawani wa viongozi wetu ndio mnajifanya kujipendekeza kwa wachina. Ni hivi magu yuko kwa maslahi ya ccm na sio ya umma, ndio maana anawakwepa wazungu na kisha anawakumbatia wachina kwani wanawasupport kubaki madarakani.
 
Back
Top Bottom