Mbona unakimbilia kuanzisha Thread wakati kuna thread inazungumzia budget acha kiherehere
Weka hiyo bajeti hapa tuipitie mkuu,sisi wanywaji tunahamu ya kujua bia zimepandishwa kias gani. UPDATES ni muhimu wengine madishi yetu ni f-6 tulishasahau kama kuna TBC-CCM.
Tunasikiliza Redio bwana wacha kutusumbua!