Nauli ya kwenda na kurudi utapatiwa mwalimu. Pia naomba ufahamu kuwa serikali imeamua kubana matumizi na kupeleka pesa itakayopatikana kwenye miradi yaa maendeleo. Naomba tuwe wavumilivu na tuunge mkono nia njema ya serikali yetu. Naomba ifahamike kuwa nia na malengo ya serikali mema kabisa. Inachofanya serikali si yo ukatili kama baadhi yenu mnavyofikiria. Serikali inataka kila mtanzania afaidike na matunda ya serikali yake. Wakati utaongea. Mtayaona hayo matunda kwa macho yenu. Asanteni.
Eti matunda!!!! fild zingine mbona hamzigusagi ovyo ovyo,.....
Futeni basi na hizi posho kwani ni moja ya sehemu ya majukumu ya kazi ya wapokea posho hizo.........
a) posho za wabunge
b) posho za madiwani
c)posho za vikao vya halmashauri na wilaya
d) posho za maaskari pale wanapo safirisha wafungwa
e)posho za madaktari na wauguzi
d) posho za majaji, mahakimu na TRA
Field ya ualimu ndio fild pekeee ambayo mwalimu anakatwa mshahara wake kuchangia darasa, dawati, na meza yake ya kukalia ofisini!!!
haijawai tokea askari kukatwa mshahara akachangia kununua pingu, kupanua gereza ama godoro la kulalia mfungwa!!!
haijawai tokea daktari akakatwa mshahara kununua kitanda, godoro ama shuka la mgonjwa
mwaka jana waalimu hawa hawa walisimamia mitihani ya kidato cha nne, bila aibu serikali hii imewadhulumu na mpaka leo hijawai walipa!!! nabungeni walikiri kuwa hawaja walipa lakini wiki mbili zilizo pita waziri uyo uyo kaja na takwimu kuwa kesha walipa wooote !!!!
namshukuru mungu aliye nipa nguvu kuachana na kazi na nawapa pole mlio baki humo jamani!!! nina miaka miwili sasa nipo uraiani natafuta kwa jasho langu!!!
kazi kama imelaaniwa vile!!!! kila kiongozi ameshawaona waalimu kama maboya!!!! ni vitisho, dharau na kejeli kila kukicha!!!
waalim nao kutokana na umaskini walio nao wanshindwa kupaza sauti kuyakemea haya, wanagugumia myoyoni na mgomo wao wanauamishia kwa watoto!!!!
sijawai kuona kazi ya ajabu ajabu kama ya ualimu nchin TANZANIA!!! hawa watu sio lazima muwape mishahara mikubwa!!! hata mkiwaheshimu tu na kuwa aknoweldge ni mshahara tosha!!!!
mnawafanya kama watoto!!! madaraja kuwapandisha mpka mtake nyinyi, mwenge ukipita mnawakata kimyakimya,!!! hamna aibu....????
skuizi wengi wamekua wajasiliamali na kufanya ualimu kama sorce yakupata mikopo kufanya biashara zao binafsi na sio kufundisha!!! tafuta mwalimu yeyote asiye jishughulisha, yaani awe yeye na mshahara mshahara na yeye hana tofauti na mtu asiyenakazi!!! wengine msio kwenye fild mtasemahana malengo!!!
huu ni upuuzi !!!!!!!!!!
shame on you AFRIKA kwa kupuuza elimu!!!!!! aibu kwako waziri kwa kuwa mwalimu unae waumiza waalim wenzako!!!! hemu waeshimu kidogo icho unacho waondolea ndio una wa demolorize totaly!!!