dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Unyanyasaji wa Wafanyakazi umerudi tena Muhimbili. Mfanyakazi ukiongea kitu ambacho kinaonekana ‘kutishia’ cheo cha boss unaondolewa kwa sababu za kutunga.
Waziri tunajua una taarifa nyingi unapewa na wasaidizi wako, ila tunaomba ufike mwenyewe MOI uokoe jahazi.
Wagonjwa wanaongezeka, watu wanahamishwa na kufanya waliobaki kufanya kazi muda mrefu na kuchoka sana. Matokeo ufanisi unapungua.
Idara ya Radiology MOI kuna hujuma, tunaomba Waziri fuatilia sababu za kuwahamisha kwa Matusi na dharura Wafanyakazi wafuatao kwa wakati mmoja:
1. BAKARI MSONGAMWANJA - LINDI
2. DOTHA MBASHA - SIMIYU
3. JOSEPH KULINGA - TABORA
4. JUMA SLIM - SUMBAWANGA
5. NGINA MITTI - SINGIDA
Fuatilia walikuwa wanadai nini kwa muda gani. Ukikwama tutakusaidia, si yote yanafaa kwenda public tutazua taharuki.
Mkurugenzi na Mkuu wa Idara wanajua kila kitu. Kuwahamishia mbali haitazuia haki kutendeka na sheria kuchukua mkondo wake.
Asante.
Waziri tunajua una taarifa nyingi unapewa na wasaidizi wako, ila tunaomba ufike mwenyewe MOI uokoe jahazi.
Wagonjwa wanaongezeka, watu wanahamishwa na kufanya waliobaki kufanya kazi muda mrefu na kuchoka sana. Matokeo ufanisi unapungua.
Idara ya Radiology MOI kuna hujuma, tunaomba Waziri fuatilia sababu za kuwahamisha kwa Matusi na dharura Wafanyakazi wafuatao kwa wakati mmoja:
1. BAKARI MSONGAMWANJA - LINDI
2. DOTHA MBASHA - SIMIYU
3. JOSEPH KULINGA - TABORA
4. JUMA SLIM - SUMBAWANGA
5. NGINA MITTI - SINGIDA
Fuatilia walikuwa wanadai nini kwa muda gani. Ukikwama tutakusaidia, si yote yanafaa kwenda public tutazua taharuki.
Mkurugenzi na Mkuu wa Idara wanajua kila kitu. Kuwahamishia mbali haitazuia haki kutendeka na sheria kuchukua mkondo wake.
Asante.