Waziri wa Afya, Dr. Gwajima fuatilia yanayoendelea MOI mapema kabla mambo hayajaharibika

Kwa nini lkn?
Hivi bado kuna viongozi wana roho mbaya kama za wanyama?
Unaanzaje kumnyanyasa mfanyakazi? wewe ni Mungu?
Kwa kweli hakuna kitu huwa kina nikera kama baadhi ya viongozi kuwanyanyasa watumishi wa chini na kuwaundia zengwe ili wahamishwe au hata kufukuzwa kazi.
Viongozi wa aina hiyo wapo wengi sana karibu katika kila ofisi za Umma wapo hao, wizara husika, makatibu wakuu chunguzeni mambo kama hayo yanawaumiza watu wasio na hatia bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama tutamshitaki kwa fedhuli aliyo tufanyia na naibu wake kutunywesha uchafu akidanganya unakinga virusi

Inatukumbusha historia juu ya vita vya MajiMaji kusini mwa Tanzania enzi za mababu zetu kuhusu risasi za bunduki! Waliamini risasi zitageuka maji! Sasa tuko karne ya 21 kwenda ya 22 wenzetu wanaenda Mars na OUTERSPACE, sisi tunachemsha majani badala ya kutengeneza vidonge vya Korona!!! Lini tutatuwa na nuclear kama North Korea? Wakorea wa Kaskazini wanasoma/walisoma vyuo gani duniani? Hata hivo tutafika tu, better late than never!
 
Nilisikia hiyo idara kuna shortage ya wafanyakazi wasiopungua kumi na bado wamehamisha wengine wa tano?

Only in Africa ,halafu kumuhamisha mtu si government wanapata hasara ya kuwalipa employees?hiyo hela si wangewaajiri hata wengine wanne?
 
Unyanyasaji wa Wafanyakazi umerudi tena Muhimbili. Mfanyakazi ukiongea kitu ambacho kinaonekana ‘kutishia’ cheo cha boss unaondolewa kwa sababu za kutunga.

Waziri tunajua una taarifa nyingi unapewa na wasaidizi wako, ila tunaomba ufike mwenyewe MOI uokoe jahazi.

Wagonjwa wanaongezeka, watu wanahamishwa na kufanya waliobaki kufanya kazi muda mrefu na kuchoka sana. Matokeo ufanisi unapungua.

Idara ya Radiology MOI kuna hujuma, tunaomba Waziri fuatilia sabababu za kuwahamisha kwa Matusi na dharura Wafanyakazi wafuatao kwa wakati mmoja:

1. BAKARI MSONGAMWANJA - LINDI
2. DOTHA MBASHA - SIMIYU
3. JOSEPH KULINGA - TABORA
4. JUMA SLIM - SUMBAWANGA
5. NGINA MITTI - SINGIDA

Fuatilia walikuwa wanadai nini kwa muda gani. Ukikwama tutakusaidia, si yote yanafaa kwenda public tutazua taharuki.

Mkurugenzi na Mkuu wa Idara wanajua kila kitu. Kuwahamishia mbali haitazuia haki kutendeka na sheria kuchukua mkondo wake.

Asante.
Akitoka huko apitie JKCI pale Kuna mgomo baridi ,hospitali kuu ya moyo nchini pharmacy ipo tupu,yaani hakuna dawa muhimu za moyo.
Maabara kuu pale mashine karibu zote mbovu ,ukisha lipia vipimo wanakwambia majibu LABDA baada ya miezi mitatu
Pia Waziri Gwajimu punguza dharau na nyodo kwa wataalamu kwani sio wote wezi wa dawa
 
Akitoka huko apitie JKCI pale Kuna mgomo baridi ,hospitali kuu ya moyo nchini pharmacy ipo tupu,yaani hakuna dawa muhimu za moyo.
Maabara kuu pale mashine karibu zote mbovu ,ukisha lipia vipimo wanakwambia majibu LABDA baada ya miezi mitatu
Pia Waziri Gwajimu punguza dharau na nyodo kwa wataalamu kwani sio wote wezi wa dawa
Hapa hakuna wakumshtakia kwani waziri ndio mtuhumiwa no1,tatizo la ukosefu wa madawa ni la tanzania nzima Ila wahusika wanaogopa kusema kwa hofu yakutumbuliwa,wakipata ugeni wakisiasa wanaongea kwakujiamini kwamba wanadawa zakutosha ili kuficha aibu kwa serikali inayojigamba budget ya wizara ya afya imeongezwa maradufu.
 
Akitoka huko apitie JKCI pale Kuna mgomo baridi ,hospitali kuu ya moyo nchini pharmacy ipo tupu,yaani hakuna dawa muhimu za moyo.
Maabara kuu pale mashine karibu zote mbovu ,ukisha lipia vipimo wanakwambia majibu LABDA baada ya miezi mitatu
Pia Waziri Gwajimu punguza dharau na nyodo kwa wataalamu kwani sio wote wezi wa dawa

Gwajima hana safari ndani ya "moh" kwani hana ushirikiano na watendaji wake na boss wake pia soon atamtoa kafara na hii itakuwa ni baada ya mabeberu kuweka pressure ya covid 19... Period!
 
Unyanyasaji wa Wafanyakazi umerudi tena Muhimbili. Mfanyakazi ukiongea kitu ambacho kinaonekana ‘kutishia’ cheo cha boss unaondolewa kwa sababu za kutunga.

Waziri tunajua una taarifa nyingi unapewa na wasaidizi wako, ila tunaomba ufike mwenyewe MOI uokoe jahazi.

Wagonjwa wanaongezeka, watu wanahamishwa na kufanya waliobaki kufanya kazi muda mrefu na kuchoka sana. Matokeo ufanisi unapungua.

Idara ya Radiology MOI kuna hujuma, tunaomba Waziri fuatilia sabababu za kuwahamisha kwa Matusi na dharura Wafanyakazi wafuatao kwa wakati mmoja:

1. BAKARI MSONGAMWANJA - LINDI
2. DOTHA MBASHA - SIMIYU
3. JOSEPH KULINGA - TABORA
4. JUMA SLIM - SUMBAWANGA
5. NGINA MITTI - SINGIDA

Fuatilia walikuwa wanadai nini kwa muda gani. Ukikwama tutakusaidia, si yote yanafaa kwenda public tutazua taharuki.

Mkurugenzi na Mkuu wa Idara wanajua kila kitu. Kuwahamishia mbali haitazuia haki kutendeka na sheria kuchukua mkondo wake.

Asante.
Na baadhi ya ma doctory ukiwa una kadi ya bima wanakunyanyapaa sana wanataka uww huna ili utoe hongo ndio upate huduma ya haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu maza hatoboi. Natabiri atakua waziri wa kwanza kutumbuliwa hii awamu.
Naam itakuwa vema sababu anayofanya hayakidhi haja..., ila baada ya mtumbuaji kutumbua na yeye ajitumbue sababu nadhani kupwaya kwa huyu mama ni kufuata misimamo yake badala ya kufuata misimamo ya kitaaluma yake....
 
Back
Top Bottom