Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,354
- 2,763
Hiyo labda private, kwan hata gvt hua wanalazmsha hili?Hivi umemuelewa waziri kweli?
Ulichoongea hapa ni tofauti na maagizo yake
Kwenda tution kwa maamuzi yako na wazazi wako hakuna tatizo, ila tatizo ni pale shule zinapolazimisha wazazi kulipa pesa ili watoto wao waendelee na tution pale pale shuleni kwao kipindi Cha likizo.