assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Tangu awamu hii ingie tumeona mawaziri mbalimbali wakitembelea maeneo yao ya kazi kuona utendaji.
Sasa kama kuna wizara nyeti ni Tamisemi ambayo ndio inamfikia mwananchi,mtumishi, wa chini kabisa.
FACT
Naelezea kwa mfano halisi wa Wilaya Ilala. mwezi November wamewatoa kwenye payroll walimu zaidi ya mia sitini, tatizo wakisema hawana HISTORY SHEET. kwa asieelewa history sheet no Maelezo binafsi ya utumishi pamoja na vitu vingine ambavo mtumishi yoyote hujaza anapoomba kazi.
Sasa baadhi ya wafanyakazi walipeleka hizo history sheet kwa maafisa utumishi wa Ilala na kuziscan kwenda utumishi makuu. Hapo ndio zimetupwa tangu tarehe 1november hazijafanyiwa kazi na wameambiwa hata desemba hawatapa isipokuwa labda January. hii sio haki kabisa, niliipata hii habari nilisikitika sana mtu kuishi mjini bila kupewa mshahara miezi 2 kisa history sheet tu.
Huu ni uzembe kwa maafisa utumishi ilala,pia pale utumishi kivukoni ambapo fomu huenda kabla ya kupelekwa hazina.
Tunamuomba waziri husika aende manispaa ilala aulizie haya nilioyaandika ni kweli tupu.
Chanzo: Walimu wa Ilala
cc Rais Magufuli
cc Waziri TAMISEMI
cc Katibu mkuu TAMISEMI
Sasa kama kuna wizara nyeti ni Tamisemi ambayo ndio inamfikia mwananchi,mtumishi, wa chini kabisa.
FACT
Naelezea kwa mfano halisi wa Wilaya Ilala. mwezi November wamewatoa kwenye payroll walimu zaidi ya mia sitini, tatizo wakisema hawana HISTORY SHEET. kwa asieelewa history sheet no Maelezo binafsi ya utumishi pamoja na vitu vingine ambavo mtumishi yoyote hujaza anapoomba kazi.
Sasa baadhi ya wafanyakazi walipeleka hizo history sheet kwa maafisa utumishi wa Ilala na kuziscan kwenda utumishi makuu. Hapo ndio zimetupwa tangu tarehe 1november hazijafanyiwa kazi na wameambiwa hata desemba hawatapa isipokuwa labda January. hii sio haki kabisa, niliipata hii habari nilisikitika sana mtu kuishi mjini bila kupewa mshahara miezi 2 kisa history sheet tu.
Huu ni uzembe kwa maafisa utumishi ilala,pia pale utumishi kivukoni ambapo fomu huenda kabla ya kupelekwa hazina.
Tunamuomba waziri husika aende manispaa ilala aulizie haya nilioyaandika ni kweli tupu.
Chanzo: Walimu wa Ilala
cc Rais Magufuli
cc Waziri TAMISEMI
cc Katibu mkuu TAMISEMI