Samwel sitta anajua mengi,hili la dowans ni moja kati ya mengi,tumpe nafasi na kuendelea kumchokonoa zaidi ili ayatoe yote moyoni,kauli yake juu ya kuilipa downs ni kuhujumu uchumi inabeba ujumbe mzito nyuma yake.
Nadhani utafika muda na tutajua tu tena kwa uwazi zaidi na si kwa tetesi kama ilivyo kwa sasa juu ya nani haswa wanaowaumiza watanzania kwa mambo kama hayo ya dowans.
Tupo vitani,hakuna kunyamaza kimya hadi kieleweke,pamoja tutashinda tu,kwani tumeshaambiwa kuwa wanaofaidika na dowans ni watu wakuu watatu na ni mpango wao wa maandalizi ya urais wa 2015
watashindwa na mpango wao mzima wa kishetani wa kuwalaza watanzania gizani ili wapate pesa za uchaguzi wa 2015,lowasa,chenga na rostam watanzania si mabwege tena
Nadhani utafika muda na tutajua tu tena kwa uwazi zaidi na si kwa tetesi kama ilivyo kwa sasa juu ya nani haswa wanaowaumiza watanzania kwa mambo kama hayo ya dowans.
Tupo vitani,hakuna kunyamaza kimya hadi kieleweke,pamoja tutashinda tu,kwani tumeshaambiwa kuwa wanaofaidika na dowans ni watu wakuu watatu na ni mpango wao wa maandalizi ya urais wa 2015
watashindwa na mpango wao mzima wa kishetani wa kuwalaza watanzania gizani ili wapate pesa za uchaguzi wa 2015,lowasa,chenga na rostam watanzania si mabwege tena