Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Na kwe
Na kwenye mikutano yote ya ccm mbele kabisa hukaa makundi yasiyojielewa vizee watoto wadogo wakinamama zetu maskini na mataahira yaliyovaa ndala machache au ma wanakijiji yanayopekuwa miguu imeliwa na funza wajanja wanaojitambua hukaa nyuma kabisa au pembeni hivyo Basi kundi la less privileged ndio wapendwa wa ccm.
Wananchi wanataka haki itendeke katika chaguzi. Whether ni CCM au Chadema au ACT wataingia madarakani kihalali haijalishi.Yuko sahihi kabisa,chadema wanaamini katiba mpya itawaweka madarakani,poor chadema!!!
Wananchi wajibu mara ngapi Mr Aiko ?!. Hiyo kazi iliyofanywa na tume ya jaji WariobaKutokana na maelezo ya Simbachawene, ni muda muafaka wa sisi kuuliza kama kweli katiba mpya na tume huru ni takwa la wananchi au wana CHADEMA
Tuko chini ya ccm unajua tunakokwenda?Hili taifa likiwa na watu wa aina yako wengi, litapotea!
Huyo huyo iwapo mwananchi angesimama na kumzungumzia katiba angekuja kivingine au kumkamata huyo mtu. Wananchi siyo wajinga wanajua wapi pa kudai katiba. Siyo hiyo mikutano fake ya CCM kwa kivuli cha serikali.Wananchi wanataka haki itendeke katika chaguzi. Whether ni CCM au Chadema au ACT wataingia madarakani kihalali haijalishi.
Aliachia ngazi mwenyewe baada ya ripoti ya makinikia kumgusa, kumbuka vizuri, akiwa waziri wa tamisemi wa magufuli msaidizi wake akiwa Jaffo, ripoti ya makinikia ilimtaja pia (Ilimtaja sababu alikuwa waziri wa madini kipindi cha JK), ndipo akaandika barua kuachia ngaziAlikudanganya nani.alitumbuliwa baada ya kuwasumbua machinga
Katiba mpya ili pawepo na utawala wa sheria na sio matamko yasiyokuwa yakatiba. Kama itakuwepo Katiba mpya hata nyinyi kama mtashinda kiuhalali mtaongoza miaka yote sio shida.Yuko sahihi kabisa,chadema wanaamini katiba mpya itawaweka madarakani,poor chadema!!!
Na CCM wanajua katiba ya sasa itawaweka madarakani mileleYuko sahihi kabisa,chadema wanaamini katiba mpya itawaweka madarakani,poor chadema!!!
Kuna makabila hayafai kutoa viongozi, wagogo hawafai kabisa. Huyu na ndugai ni machizi"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.
Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.
Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.
======
SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI
Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.
WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.
Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.
Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.
“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.
Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.
“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.
Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.
Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.
“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.
Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema ofisi yake inafanya jitihada za kuwa na mkutano wa wadau wa siasa siku chache zijazo ili kujadili na kuondoa mvutano kati ya vyama vya siasa na jeshi la polisi. Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumatatu Septemba 6, 2021 jijini Dar es Salaam, Jaji Mutungi amesema mkutano huo utahusisha wadau watatu muhimu ambao ni jeshi la polisi, vyama vya siasa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa. Amesema aliwasiliana na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro wakakubaliana kukutana na wadau hao hivi karibuni kwa lengo la kujadili suala la mvutano baina ya polisi na vyama vya siasa.
Kwahiyo sasa hivi hakuna watu? mbona kila kitu kiko hovyo hovyo, hao watu waisimamie hii katiba ilete mabadiliko chanya basi tuone. Katiba ni muongozo, na muongozo wetu uliopo sasa ni mbovu, unatumika kunajisi kila kilichopo. Katiba mpya ya wananchi ndio hitaji la sasa acheni kuruka ruka.Katiba ndo inasimamia nchi au watu ?tatizo lenu hamuelewi tofauti Kati ya katiba na watu,mnavichnganya kwa pamoja!!
Angeongelea wapiga kura wake labda ndo hawataki katiba mpya ,siyo watanzania. Watanzania tunapataka katiba mpya. Tume ya Warioba ilikuja na majibu ya Simbachawene. Kama hakikuwa hitaji la watanzania tume ya Warioba iliundwa ya nini, hadi bunge la katiba likaundwa. Umuhimu wa katiba mpya upo"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.
Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.
Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.
======
SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI
Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.
WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.
Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.
Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.
“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.
Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.
“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.
Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.
Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.
“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.
Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.
Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.
Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.
======
SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI
Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.
WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.
Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.
Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.
“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.
Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.
“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.
Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.
Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.
“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.
Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
ushuzi wa wachumia tumbo ,wakila wakijamba hatutaki katiba mpya"Unakuta mtu anasema Katiba ya Tanzania mbaya kwa kipengele kimoja tu cha tume ya uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ndiyo inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila ya kuwa na ugomvi.
Shida ya Watanzania siyo Katiba mpya ila shida ni ya wanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, watu wachache ndiyo wanashida na Katiba kwa malengo na ubinafsi wao.
Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika," - amesema Simbachawene.
======
SIMBACHAWENE ASEMA WATANZANIA WANATAKA AMANI, MAENDELEO, SIYO KATIBA MPYA, WAPINZANI WANAITAKA KWA MALENGO YAO BINAFSI
Na Felix Mwagara, MoHA, Kibakwe.
WAZIRI wa Mambo ta Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema uimara wa Katiba ya Tanzania umeleta amani, kupendana, kushirikiana na kuwepo kwa kasi ya maendeleo nchini hivyo hakuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato wa Katiba mpya kwasasa, na vyama vya upinzani wanaitaka si kwa ajili ya wananchi bali kwa malengo yao binafsi.
Amesema hakatai kuwa Katiba inaweza kuwa na mapungufu kwa baadhi ya vipengele, hivyo vyama vya upinzani wanapaswa kusema eneo lipi lifanyiwe mabadiliko kama lipo na siyo kutaka katiba nzima ibadilishwe wakati bado ina ubora wa hali ya juu na ndiyo imeleta maendeleo makubwa nchini.
Akizungumza na mamia ya wananchi wa Kijiji cha Makose na Chogola, Kata ya Masa, Jimboni kwake Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, leo, Waziri Simbachawene amesema sekeseke na vurugu nyingi za vyama vya upinzani ni kuzungumzia katiba ambayo haina kosa lolote, na shida kuu ya wananchi ni vitu vya maendeleo na siyo Katiba.
“Unakuta mtu anaisema Katiba mbaya kwa kipengele kimoja tu cha Tume ya Uchaguzi, baasi, lakini Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo iliyotuweka katika hali ya kupendana, nchi ya amani, Katiba hii ya Tanzania ndio inayopelekea Watanzania wanamiliki rasilimali na maliasili kwa umoja bila kuwa na ugomvi, nchi nyingine kila siku wanapigana mapanga kwasababu rasilimali za nchi zao zimewekwa katika mazingira ambayo Katiba yake haijaweka vizuri na watu wanagombana kila kukicha,” alisema Simbachawene.
Simbachawene aliongeza kuwa, Katiba ya Tanzania ni nzuri na hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu hivyo mapungufu ya hapa na pale yanaweza yakawa yapo na yanapaswa kushughulikiwa na siyo kwa kuibomoa Katiba yote, vinaweza vikachukuliwa vipengele muhimu vikarekebishwa kwa vile ambavyo vinavyopigiwa kelele.
“Shida ya watanzania siyo Katiba mpya, ila shida ni yawanaotaka madaraka kwa njia nyepesi ndiyo shida yao wanaona ni Katiba, shida ya Katiba ni ya watu wachache tu kwa malengo, kwa ubinafsi wao lakini Tanzania hakuna shida ya Katiba maana Katiba hii ni nzuri na imetupitisha katika vipindi muhimu na vigumu ambapo ingesababisha nchi iweze kuvunjika,” alisema Simbachawene.
Ameongeza kuwa, katika mkutano wake na wananchi hao wameyataja masuala mbalimbali ya maendeleo wanayoyataka jimboni humo ikiwemo wanahitaji maji, zahanati, barabara nzuri, shule kujengwa zaidi, nyumba za walimu na madaktari lakini hawakusema wanataka Katiba mpya, hivyo siyo shida ya wananchi zaidi ya kutaka maendeleo.
Aidha, Waziri Simbachawene aliwataka wananchi wa Kata Masa kuhakikisha wanatunza mazingira kwakutokata miti, kuharibu vyanzo vya maji, na kusababisha barabara, mashamba, madaraja kuharibika kutokana na maporomoko ya maji kutoka milimani baada ya baadhi ya wananchi kuharibu mazingira hayo.
“Afisa Mtendaji wa Kata nakuagiza hakikisha unalinda misitu, wachukulie hatua kali wanaokata miti, wanaolima milimani, nipo tayari nikose kura zao kwa wale ambao wanasababisha uharibifu wa mazingira, jamani kutunza mazingira ni muhimu, lazima mlijue hili, msifanye mzaha, mazingira yetu yanaharibika kutokana na wachache ambao wanalima na kukata miti kwa ajili ya kuchoma mikaa na shughuli zingine sio halali, jambo ambalo linaharibu mazingira yetu,” alisema Simbachawene.
Simbachawene amemaliza ziara jimboni kwake kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
View attachment 1948718View attachment 1948719View attachment 1948724
Hilo bunge la katiba liliharibiwa na nani? Si hao wapinzani fake ambao wengine ni mabalozi kwa sasa? Hamjawahi kuwa serious, na hamtokuja kuwa serious, chama pekee ambacho kinaweza kutuletea katiba mpya siku wakiamua ni CCM, siyo nyie wachumia tumbo, wapinzani njaa njaaAngeongelea wapiga kura wake labda ndo hawataki katiba mpya ,siyo watanzania. Watanzania tunapataka katiba mpya. Tume ya Warioba ilikuja na majibu ya Simbachawene. Kama hakikuwa hitaji la watanzania tume ya Warioba iliundwa ya nini, hadi bunge la katiba likaundwa. Umuhimu wa katiba mpya upo
Hajatenda HAKI kabisa. Watu kama Hawa hudumaza taifa