johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,941
- 141,915
Waziri wa mambo ya ndani mh George Simbachawene amemtaka mkurugenzi mkuu wa NIDA ajitafakari kama bado anastahili kuiongoza taasisi hiyo.
Simbachawene amesema NIDA wameshindwa kutoa vitambulisho vya taifa kwa wakati mfano mkoani Iringa vimetolewa vitambulisho 160,000 huku raia wengine zaidi ya 400,000 wakisubiri kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Source: ITV habari
Simbachawene amesema NIDA wameshindwa kutoa vitambulisho vya taifa kwa wakati mfano mkoani Iringa vimetolewa vitambulisho 160,000 huku raia wengine zaidi ya 400,000 wakisubiri kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Source: ITV habari