Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,928
- 3,055
Matatizo ya utumishi wa umma ni mengi.
Ila siyo hili la kutumia simu.
Ila siyo hili la kutumia simu.
Hili pendekezo linawahusu pia waliopandisha bei ya invoice ?
Naunga mkono hoja,tena washonewe na sare kabisa wavae kama wanafunzi wa shule ya msingi. Pia wanawake wasiruhusiwe kusuka.
Hii itapunguza sana ufisadi na wizi wa mali za umma.
Mhe. Simbachawene ameongeza kuwa, mtumishi anaingia kazini na simu ambayo ina makundi mengi, akianza kuwasiliana na makundi matatu tu saa moja ya kazi imeondoka na kwa kuwa ana makundi ya majirani, vikoba na mengineyo hivyo akiendelea kushiriki kinachojadiliwa unakuta matumizi ya simu yanachukua muda mwingi wa kaziHili pendekezo ni kiki, kwasababu binafsi sijawahi enda ofisi ya umma nikaacha kuhudumiwa eti mtu anachati.
===
View attachment 2577052
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameeleza dhamira yake ya kushirikiana na watumishi wa ofisi yake katika kutekeleza jukumu la kuwasimamia watumishi wa umma nchini kutumia vizuri saa za kazi kuwahudumia wananchi badala ya kufanya mambo ambayo yanakwamisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.
Mhe. Simbachawene ameweka wazi dhamira hiyo ya kuwasimamia watumishi wa umma kutekeleza wajibu wao kikamilifu pindi alipowasili ofisini kwake na kuzungumza na watumishi wa ofisi yake waliompokea mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Aprili, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini.
Mhe. Simbachawene amesema, rasilimaliwatu ni muhimu sana katika maendeleo ya taifa lolote, hivyo ni lazima ofisi yake ihakikishe watumishi wa umma wanafanya kazi kwa mujibu wa Kanuni, Sheria, Taratibu, Miongozo na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndiyo sheria mama ya nchi.
Mhe. Simbachawene ameeleza kuwa, wateja wanaofuata huduma katika taasisi za umma wamekuwa wakilalamika kutopatiwa huduma nzuri na kwa wakati, na kuongeza kuwa, baadhi ya watumishi wa umma wamekuwa wakifanya shughuli zao binafsi mahala pa kazi wakati wananchi wakisubiria kupatiwa huduma.
“Muda ambao mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi ni saa nane, lakini utakuta mtumishi akiingia kazini anakuwa na pilika nyingine ambazo si za kazi anayopaswa kuifanya, akitoa mfano wa Muuguzi au Mwalimu anaposhindwa kuwajibika, madhara yake ni makubwa na taifa linapata hasara kubwa kwasababu rasilimaliwatu haitumiki ipasavyo,” Mhe. Simbachawene amesisitiza.
Mhe. Simbachawene ameongeza kuwa, mtumishi anaingia kazini na simu ambayo ina makundi mengi, akianza kuwasiliana na makundi matatu tu saa moja ya kazi imeondoka na kwa kuwa ana makundi ya majirani, vikoba na mengineyo hivyo akiendelea kushiriki kinachojadiliwa unakuta matumizi ya simu yanachukua muda mwingi wa kazi
Utumishi
Wewe utafiti uliufanya kwa watu wangapi,na katika ofisi zipiJambo zuri. Ukifanya utafiti wa juujuu utagundua kuwa mitandao ya kijamii ipo active sana siku za kazi kuliko siku za mapumziko. Wanaiba sana muda.
Baada ya kazi au Kituo Cha Huduma Kwa wateja au Kupitia afisa utumishiSasa watawasiliana aje na familia zao
wewe ni mtumishi wa umma? kama ndiyo hebu tupe uzoefu wako na ukweli wa hoja ya waziri.Wewe utafiti uliufanya kwa watu wangapi,na katika ofisi zipi
Thanks mkuu, maana Kila baya watumishi huwa tunaonekana shida ila Kuna wananchi wasema kweli kama wewe wachache sana. Asante sana mkuuLitakuwa linawahusu hao watumishi walioko wizarani maana hawa wengine huku chini sijawahi enda ofisi yoyote nikakosa huduma kisa mtu anabembeleza mchepuko au danga.
Baada ya kazi au Kituo Cha Huduma Kwa wateja au Kupitia afisa utumishi
Hili pendekezo linawahusu pia waliopandisha bei ya invoice ?
Ujinga ndio unaanziaga hapa.Akitaka kwenda kutembea ofisi fulani atawatafuta kwa mguuHili pendekezo ni kiki, kwasababu binafsi sijawahi enda ofisi ya umma nikaacha kuhudumiwa eti mtu anachati.
===
View attachment 2577052
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameeleza dhamira yake ya kushirikiana na watumishi wa ofisi yake katika kutekeleza jukumu la kuwasimamia watumishi wa umma nchini kutumia vizuri saa za kazi kuwahudumia wananchi badala ya kufanya mambo ambayo yanakwamisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.
Mhe. Simbachawene ameweka wazi dhamira hiyo ya kuwasimamia watumishi wa umma kutekeleza wajibu wao kikamilifu pindi alipowasili ofisini kwake na kuzungumza na watumishi wa ofisi yake waliompokea mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Aprili, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini.
Mhe. Simbachawene amesema, rasilimaliwatu ni muhimu sana katika maendeleo ya taifa lolote, hivyo ni lazima ofisi yake ihakikishe watumishi wa umma wanafanya kazi kwa mujibu wa Kanuni, Sheria, Taratibu, Miongozo na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndiyo sheria mama ya nchi.
Mhe. Simbachawene ameeleza kuwa, wateja wanaofuata huduma katika taasisi za umma wamekuwa wakilalamika kutopatiwa huduma nzuri na kwa wakati, na kuongeza kuwa, baadhi ya watumishi wa umma wamekuwa wakifanya shughuli zao binafsi mahala pa kazi wakati wananchi wakisubiria kupatiwa huduma.
“Muda ambao mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi ni saa nane, lakini utakuta mtumishi akiingia kazini anakuwa na pilika nyingine ambazo si za kazi anayopaswa kuifanya, akitoa mfano wa Muuguzi au Mwalimu anaposhindwa kuwajibika, madhara yake ni makubwa na taifa linapata hasara kubwa kwasababu rasilimaliwatu haitumiki ipasavyo,” Mhe. Simbachawene amesisitiza.
Mhe. Simbachawene ameongeza kuwa, mtumishi anaingia kazini na simu ambayo ina makundi mengi, akianza kuwasiliana na makundi matatu tu saa moja ya kazi imeondoka na kwa kuwa ana makundi ya majirani, vikoba na mengineyo hivyo akiendelea kushiriki kinachojadiliwa unakuta matumizi ya simu yanachukua muda mwingi wa kazi
Utumishi
Utumishi katika nchi ina matatizo mengi na makubwa kuliko hilo dogo analobainisha huyo Chawene .Walimu na manesi aliowatolea mfano ni watumishi wenye matatizo lukuki yakiwemo ya maslahi madogo na kutolipwa malimbikizo ya mishahara yao kwa wengine tangu 2017 hayo magroup wataingia kwa saa nzima data ataweka yeyeSimu ni sehemu ya kisaidizi cha mtumishi, waziri apambane na matatizo makubwa ya kiutumishi kama uchelewashaji wa mishahara, madaraja, uonevu wa kingono, etc etc, mimi mwenyewe ninashuhudia sana customs officials wetu wakitumia simu kupata informations nyingi za product's zinazoingia nchini, aachane na Kiki mfu
Watapiga Huduma Kwa wateja na Kwa hro.Ujinga ndio unaanziaga hapa.Akitaka kwenda kutembea ofisi fulani atawatafuta kwa mguu
Unajua maana ya utafiti wa kijuujuu?Wewe utafiti uliufanya kwa watu wangapi,na katika ofisi zipi
Ningemuona ana akili kama angekuja na mpango wa kuhakikisha kila mtumishi wa umma madai yake yaliyohakikiwa yanalipwa ndani ya miezi miwili na yale yaliyobado kuhakikishiwa yanalipwa ndani ya miezi minne ili hao watumishi wasifanye kazi kwa kinyongo na kuongeza ufanisi wa kuwahudumia watanzania.Tutamuona huyo jamaa atakavyoperform naona anajaribu kudeal na vitu minor sana hakuna Mtumishi atajizuia kutumia simu kwa masaa 8 simply ameagiza huyo SimbachaweneBadala ya kuongelea namna atakavyoshughulikia maslahi ya watumishi ikiwemo kulipa mishahara stahiki na allowances za nyumba, usafiri, maji, umeme, chakula kazini na kufuta kikokotoo cha kinyonyaji anaanza na porojo? hii ni kiashiria kwamba watumishi safari hii watakutana na surprise ileile ya mwaka jana, nyongeza ya asilimia 23 kuishia kuwa buku mbili...