Waziri Ole Medeye azomewa...

Waziri Ole Medeye azomewa...

Inasikitisha sana kama viongozi wanazomewa, hii ni ishara kwamba utawala wa chama tawala upo mbioni kufa!!!!
 
Namsikitikia ataonja muhula moja tu bungeni,uchaguzi ujao hata udiwani hapati labda kwa wazaramo
 
Chezea vx nyie? Ngoja arudishe pesa za campaign kwa kuenjoy vx na nyumba za uwaziri.
 
Back
Top Bottom