P Pumb JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 295 Reaction score 104 Oct 17, 2012 #21 Boooooooooooooooooooooooo!
Mzee wa Rula JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 8,169 Reaction score 3,358 Oct 17, 2012 #22 Inasikitisha sana kama viongozi wanazomewa, hii ni ishara kwamba utawala wa chama tawala upo mbioni kufa!!!!
Inasikitisha sana kama viongozi wanazomewa, hii ni ishara kwamba utawala wa chama tawala upo mbioni kufa!!!!
Mlengo wa Kati JF-Expert Member Joined Feb 16, 2011 Posts 2,730 Reaction score 492 Oct 17, 2012 #23 Hapa kinacho jengeka ni Taifa la wazomeaji kutoka chama cha wazomeaji!
L lukme Senior Member Joined Apr 18, 2012 Posts 191 Reaction score 24 Oct 17, 2012 #24 ptuuu mbaka. piiiiishu nang'u
P Popooo Member Joined Jan 18, 2011 Posts 46 Reaction score 5 Oct 17, 2012 #25 Kura alinunua si kwa heshima ya watu.
N Newcastle Senior Member Joined Oct 11, 2012 Posts 142 Reaction score 15 Oct 17, 2012 #26 Namsikitikia ataonja muhula moja tu bungeni,uchaguzi ujao hata udiwani hapati labda kwa wazaramo
P Pulpitis Senior Member Joined Jun 24, 2012 Posts 116 Reaction score 26 Oct 18, 2012 #27 Chezea vx nyie? Ngoja arudishe pesa za campaign kwa kuenjoy vx na nyumba za uwaziri.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,578 Reaction score 28,701 Oct 18, 2012 #28 ni aibu sana kwa kiongozi wa watu kuzomewa na unaowaongoza.............