Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

Nape atakuwa kashangilia kupata kitu cha kujaribu kumuangusha Mh. Makonda

Ya kina Wema, Steve alimtoa aibu.

Na bado hapa kazi tu


Makonda oyeeeeeeeee
Mara ya kwanza kukufahamu humu Jf Nlikua nakuonaga unachangia point za maana hadi nkakuelewa, sikuhiz Umekua ovyo na unachangia utumbo kila uchwapo...

Umepatwa na nn dadangu? Huyo bwanako anarudi Kolomije Si muda
 
Back
Top Bottom