Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,403
- 79,645
Amesema hataki urafiki wa mabunduki, urafiki wa wali maharage sawa!Ruge amesemaje?
Amesema hataki urafiki wa mabunduki, urafiki wa wali maharage sawa!Ruge amesemaje?
Mkuu kama kuna mtu anadhani hii issue ni ndogo au business as usual basi atakuwa anakosea sananimependa sana Ruge amefunguka ukweli nilidhani ataogopa kusema ukweli
Media Owners Association of Tanzania (MOAT)What is MOAT
Kwanza ku engineer video ambayo ni taarifa za kupikwa, kuvamia kituo cha watu usiku kwa mitutu, hayo tu ilitakiwa kwa mtu makini astep down.Akiomba radhi asamehewe na aendelee na ukuu wa mkoa wake....wana Dar es Salaam tunampenda saaana RC wetu Makonda
Anataka afukuzwe, ili kashfa ya Cheti ipotee. Ndio lengo. (nafikiri)Movie ipo mwisho mwisho lakini Wadhamini wa movie GSM ndiyo wanapanga njia zote za Uzinduzi hata Mlezi wao baba jesca kaamua kuuchuna kiimya hataki kusikia kitu.
Kusaga hajashirikishwa aliyemaliza kazi ni Ruge tangu jana na leo hii ndio kahitimishaKusaga asishirikishwe anataka kuunguza screen ya Muvi
Bila shaka wewe ni kimada wake. Kama ulizoea ofa sasa utazisikia kwenye bomba.Nape anaulizwa ya habaro na uhuru, yeye anakazania ya Mh. Makonda
Kweli kapata p kujidai kutaka kumshusha ila ndio hivyo anajulikana anamsaka tangu aanze mapambanonya ngada.
Leo anakimbilia kukazania eeeeeh
Maajabu hayaishi
Tunajua lake hakuna linalofichika this tim hakurusha tu mapovu twitter.
Makonda oyeeeeee
Uharoo mtupu.. Mtu afanye ujinga mseme eti vita ya madawaNape anaulizwa ya habaro na uhuru, yeye anakazania ya Mh. Makonda
Kweli kapata p kujidai kutaka kumshusha ila ndio hivyo anajulikana anamsaka tangu aanze mapambanonya ngada.
Leo anakimbilia kukazania eeeeeh
Maajabu hayaishi
Tunajua lake hakuna linalofichika this tim hakurusha tu mapovu twitter.
Makonda oyeeeeee
Pole sana ndugu kwa hiloHapa habari ya vyeti ishapotea mtajadili haya haya kudadec watu wanambinu za ajab
Unakumbuka kuna mtu aliwahi kufukuzwa kwa kosa la kutoa taarifa mkoa wake hauna wafanyakazi hewa??Akiomba radhi asamehewe na aendelee na ukuu wa mkoa wake....wana Dar es Salaam tunampenda saaana RC wetu Makonda
Ijauo =ijayoGwajima atakua amachukua notisi na kudownload neno la ibada ijauo
Mkuu wacha Maneno ya kipuuziNape atakuwa kashangilia kupata kitu cha kujaribu kumuangusha Mh. Makonda
Ya kina Wema, Steve alimtoa aibu.
Na bado hapa kazi tu
Makonda oyeeeeeeeee