Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Yaleyale aliyokuwa akiyasema kaka yangu Lusekelo, Waziri anafuatwa na maswali ya msingi lakini hatoi majibu na badala yake 'anamfundisha kazi' mwandishi kwa kumuelekeza akaandike kile anachotaka wananchi wajue na sio kile wanachotaka kujua! Kazi bado ni ngumu ndugu zangu.