Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,545
- 41,050
Hivi viongozi wamepatwa na Uwendawazimu gani?
Nimepita sehemu nikamwona Mwigulu anahutubia. Mwanzoni sikujua ni tukio gani. Baadaye, nikashangaa kuona watu wengi wanasonya. Nilipouliza, nikaambiwa kuwa eti Waziri anasoma bajeti! Hapo nikaungana nao katika kupuuza takataka ile ambayo haina sifa ya kuitwa bajeti, maana kila baada ya paragraph moja au mbili, ni sentensi ya kumsifia Rais!! Sasa hiyo ni bajeti au mapambio ya kinafiki ya kumsifia Rais?
Rais Samia akemee huu ujinga. Hawa wanamlisha rushwa ya sifa ili wazidi kumlewesha na kumdidimiza. Kama ni mtu mwenye tafakari nzuri ajiulize kama kweli hizo sifa ni halisia au wanamdihaki kwa sababu wameujua udhaifu wake, kuwa anapenda sifa!!
Na wale wabunge batili wanaolipwa kwa kugonga meza na kusema ndiyo, wameendelea na uhayawani ule ule.
Tusitegemee lolote kwenye hivi vioja vya Mwigulu na wenzake. Kodi zetu zinaliwa na wabunge batili wasio na msaada wowote kwa nchi.
Nimepita sehemu nikamwona Mwigulu anahutubia. Mwanzoni sikujua ni tukio gani. Baadaye, nikashangaa kuona watu wengi wanasonya. Nilipouliza, nikaambiwa kuwa eti Waziri anasoma bajeti! Hapo nikaungana nao katika kupuuza takataka ile ambayo haina sifa ya kuitwa bajeti, maana kila baada ya paragraph moja au mbili, ni sentensi ya kumsifia Rais!! Sasa hiyo ni bajeti au mapambio ya kinafiki ya kumsifia Rais?
Rais Samia akemee huu ujinga. Hawa wanamlisha rushwa ya sifa ili wazidi kumlewesha na kumdidimiza. Kama ni mtu mwenye tafakari nzuri ajiulize kama kweli hizo sifa ni halisia au wanamdihaki kwa sababu wameujua udhaifu wake, kuwa anapenda sifa!!
Na wale wabunge batili wanaolipwa kwa kugonga meza na kusema ndiyo, wameendelea na uhayawani ule ule.
Tusitegemee lolote kwenye hivi vioja vya Mwigulu na wenzake. Kodi zetu zinaliwa na wabunge batili wasio na msaada wowote kwa nchi.