Waziri Mwigulu Nchemba akienda Ukonga Mombasa Physically itarudisha imani zaidi kwa wananchi

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Note: I am not good at writing stories. Maelezo yanaweza kukosa mpangilio.

Kufanya political coverup ninafikiri hii ndio kazi ya msingi ya kisiasa ya waziri ya mambo ya ndani ya nchi. Hii sio issue ya kuongea na media tu. Hapana haitoshi. Lazima mtu mzito sana aende aonane face to face na wananchi wa Ukonga mazizini.

Tukio la Ukonga Mombasa lilinahitaji media coverage pamoja na physical visit kutoka kwa moja ya maofisa wa ngazi ya juu ya jeshi la police ama wizara ya mqmbo ya ndani aidha awe IGP, kamanda wa kanda maalum ama waziri wa mambo ya ndani. Bila kufanya hivyo tukio kama hili linaweza kutumiwa na baadhi ya wanasiasa kama karata yao dume ya kutafutia umaarufu wa kisiasa bila kujua pia wanachafua taswira ya jeshi kwa wananchi. Mimi sijui ni kikundi gani cha watu walifanya tukio lile ila ninachojua ni kwamba ile ni kadhia ya kiusalama kwa wananchi wa eneo husika inayohitaji mazungumzo ya ana kwa ana (face to face) kati kiongozi mkubwa wa jeshi na wananchi na sio tu media coverage.

Let's imagine mimi nimepata taarifa mbaya tuseme msiba wa mke wa ndugu yangu wa karibu sana. Nikimpigia simu na kumpa pole haitakuwa na uzito kama ambavyo nitaenda moja kwa moja mpaka eneo ambapo msiba ule unafanyika. The same applies to this situation. Wananchi wa Ukonga wanahitaji kuonana na high ranking official ili kuweza kuondoa dukuduku zilizojaa mioyoni mwao kutokana na tukio lile. Hapa ndipo inapokuwa dhana ya mahusiano mema baina ya police na wananchi.

Inaweza kuonekana hii issue imeisha juu kwa juu, but political repercussions zake ni kubwa sana na za kimya kimya.

Ni muhimu sana kwa mtu mzito mmoja akatoka ofisini akaenda Ukonga kuwaambia wananchi kuwa jeshi lipo kwa ajili ya usalama wao na mali zao na sio kwa kuwadhuru wao.

Hii ndio kazi ya kisiasa ya waziri wa mambo ya ndani ya nchi.

I stand to be corrected.
 
Huyu jamaa mimi namuona kama boya furani hivi kwasababu yeye ni waziri wa ulinzi na ni mbunge pia lakini maswala yanayotokea kwa jamii mf wizi kuteka upinzani kuuwawa watanzania na kutupwa majini lissu kutaka kuuwawa na akina bashite na kaka yake lakini hajatoa neno yuko kimya tu


Ghaaa wenda anausika maana sio bulelll


Swissme
 
binafsi nisingependa mazungumzo au faraja kutoka kwa uliowataja !ningesubiri hukumu ya muda tu maana sioni mantiki kiongea au kujadiliana na viongozi wasiojitambua wanasimamia nini katika dhamana walizopewa ,tukionacho ni kutumika na kujipendekeza upande fulani tu unaweza kufikiri kwa usahihi kabisa hii serikali ina ugomvi na raia wake wanyonge!
kweli mpaka sasa mkuu wa wale wahuni hajawajua hao wshenzi waliofanya upuuzi na hakuna arest iliyofanyika?
 
Halafu kiongozi anakwambia wananchi tutoe ushirikiano kwa jeshi la polisi...

Siku hizi bora ukutane na jambazi kuliko polisi
 
ameisha katwa mkia huyooo, yani hana meno yupo yupo kama boyaa, adi aamrishwe mkuu wa kaya na bashote wamwamlishe ndiyo anakimbiakimbia kama gari bovuu........
 
Amesusa na kwa maoni yangu asiende tuu sababu kwenye mambo ya kujipatia ujiko kama vile kupokea vifaa vya Jeshi Bashite anajifanya kuwa frontline lakini mambo yakiwa magumu mzigo anarushiwa Mwigulu.
 
Nimewaza tuuuuu wanamtaka bashite wamgombanie kama mpira wa kona au wamehalalisha ndiye Waziri wa Mambo ya Ndani??? Hii nchi banaaaaaa
Mwenyekiti.......wa,
Jeshi la polisi. Inabidi wakawaombe msamaha kwa kweli kama mtoa mada alivyopendekeza. Alienda mkuu wa wilaya ndio ila kwa kutoa uzito kulingana na tukio lenyewe waziri na.IGP wangetakiwa kufika na kutoa pole kwa raia.
 
Back
Top Bottom