Lindela Escape
New Member
- May 4, 2020
- 1
- 8
WanaJamii, heshima kwenu.
Kumekuwa na minong'ono mingi na miluzi kibao from opposition die hard fans kufuatia jemedari mkuu Rais John Magufuli kumuapisha Mh waziri Mwigulu Nchemba mjini Chato.
Kimsingi hawana hoja, bali wanashangaa tu na kulalamika eti why Rais afanye majukumu yake kiofisi from Chato?!! Lalamiko mufilisi kabisa hili na limejaa ignorance of basic public administration issues at Presidential level.
Nitafafanua mambo kadhaa ninayofahamu kuhusu Viapo vya mawaziri; na majukumu ya kiofisi ya Mh Rais.
1. KATIBA ya Tanzania. Hii ndiyo Sheria mama katika nchi. Mh Rais alikula kiapo kuzingatia na kuilinda Katiba ya nchi.
Ibara ya 56 ya Katiba imeelezea kuhusu Kiapo kwa Mawaziri. Nainukuu...
"Waziri au Naibu Waziri hatashika madaraka yake ila mpaka
awe ameapa kwanza mbele ya Rais kiapo cha uaminifu na pia
kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake
kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge".
Wataalaamu wa Sheria mtusaidie kuitafsiri hiyo Ibara. Ila kwa tafsiri iliyo wazi ni kuwa Ibara tajwa inaeleza 'kiapo cha Waziri kifanyike mbele ya Rais.' Ni popote pale penye Ofisi rasmi ya Rais, ilimradi kuna uwepo wa Rais wakati wa Kiapo hicho. Katiba haisemi Kiapo cha Waziri kifanyike Ikulu ya Magogoni, au Chamwino, hapana! Ministerial Oath itafanyika "mbele ya Rais". Tusome Katiba.
2. The Official Oaths Act Cap 266.
Hii ni Sheria ya Viapo vya kiserikali Tanzania. Kifungu cha 5 cha Sheria hii pia kinaelezea the same kuwa Viapo vya mawaziri vitakuwa tendered "before the President". Sheria haisemi Viapo vya mawaziri vifanyike Ikulu ya wapi au wapi, no! Bali ni 'mbele ya Rais'.
3. The Presidential Affairs Act Cap 9.
Hii ni Sheria inayoeleza kuhusu affairs za kirais ikiwemo makazi yake, Ofisi yake, n.k
Sheria hii, katika Kifungu cha 9(2), inataja na kutambua 'State House' au 'State Lodge' kuwa ndiyo Office or Official residence for the President.
Wapo walioandika humu kwamba Mwigulu ameapishiwa kwenye jengo la Hotel. Hata kama ni kweli kwamba Kiapo kilifanyika kwenye jengo la Hotel, bado haiondoi validity na legality ya Kiapo hicho coz kilifanyika 'mbele ya Rais' kama Katiba ya nchi inavyoelekeza, pia kukiwa na Bendera ya Taifa; na Bendera ya Rais ambayo ni symbol ya President's Office impliedly mahali hapo wakati wa tukio husika.
Lakini pia, yawezekana hiyo Hotel ndiyo 'State Lodge' yenyewe rasmi kwa ukanda huo wa Chato.
Tanzania tumepata Rais ambaye anaelewa anachokifanya. Hakurupuki. Anazingatia Sheria Taratibu na Kanuni.
Mh Mwigulu chapa kazi kiongozi.
Mh Rais Dkt John Joseph Magufuli endelea kukaza, endelea kunyoosha rula.
Nchi ipo kwenye msitari, na watanzania walio wengi wapo pamoja nawe. Huu ndiyo uhalisia huku mtaani.
#Twende na Magufuli20/25#
Kumekuwa na minong'ono mingi na miluzi kibao from opposition die hard fans kufuatia jemedari mkuu Rais John Magufuli kumuapisha Mh waziri Mwigulu Nchemba mjini Chato.
Kimsingi hawana hoja, bali wanashangaa tu na kulalamika eti why Rais afanye majukumu yake kiofisi from Chato?!! Lalamiko mufilisi kabisa hili na limejaa ignorance of basic public administration issues at Presidential level.
Nitafafanua mambo kadhaa ninayofahamu kuhusu Viapo vya mawaziri; na majukumu ya kiofisi ya Mh Rais.
1. KATIBA ya Tanzania. Hii ndiyo Sheria mama katika nchi. Mh Rais alikula kiapo kuzingatia na kuilinda Katiba ya nchi.
Ibara ya 56 ya Katiba imeelezea kuhusu Kiapo kwa Mawaziri. Nainukuu...
"Waziri au Naibu Waziri hatashika madaraka yake ila mpaka
awe ameapa kwanza mbele ya Rais kiapo cha uaminifu na pia
kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake
kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge".
Wataalaamu wa Sheria mtusaidie kuitafsiri hiyo Ibara. Ila kwa tafsiri iliyo wazi ni kuwa Ibara tajwa inaeleza 'kiapo cha Waziri kifanyike mbele ya Rais.' Ni popote pale penye Ofisi rasmi ya Rais, ilimradi kuna uwepo wa Rais wakati wa Kiapo hicho. Katiba haisemi Kiapo cha Waziri kifanyike Ikulu ya Magogoni, au Chamwino, hapana! Ministerial Oath itafanyika "mbele ya Rais". Tusome Katiba.
2. The Official Oaths Act Cap 266.
Hii ni Sheria ya Viapo vya kiserikali Tanzania. Kifungu cha 5 cha Sheria hii pia kinaelezea the same kuwa Viapo vya mawaziri vitakuwa tendered "before the President". Sheria haisemi Viapo vya mawaziri vifanyike Ikulu ya wapi au wapi, no! Bali ni 'mbele ya Rais'.
3. The Presidential Affairs Act Cap 9.
Hii ni Sheria inayoeleza kuhusu affairs za kirais ikiwemo makazi yake, Ofisi yake, n.k
Sheria hii, katika Kifungu cha 9(2), inataja na kutambua 'State House' au 'State Lodge' kuwa ndiyo Office or Official residence for the President.
Wapo walioandika humu kwamba Mwigulu ameapishiwa kwenye jengo la Hotel. Hata kama ni kweli kwamba Kiapo kilifanyika kwenye jengo la Hotel, bado haiondoi validity na legality ya Kiapo hicho coz kilifanyika 'mbele ya Rais' kama Katiba ya nchi inavyoelekeza, pia kukiwa na Bendera ya Taifa; na Bendera ya Rais ambayo ni symbol ya President's Office impliedly mahali hapo wakati wa tukio husika.
Lakini pia, yawezekana hiyo Hotel ndiyo 'State Lodge' yenyewe rasmi kwa ukanda huo wa Chato.
Tanzania tumepata Rais ambaye anaelewa anachokifanya. Hakurupuki. Anazingatia Sheria Taratibu na Kanuni.
Mh Mwigulu chapa kazi kiongozi.
Mh Rais Dkt John Joseph Magufuli endelea kukaza, endelea kunyoosha rula.
Nchi ipo kwenye msitari, na watanzania walio wengi wapo pamoja nawe. Huu ndiyo uhalisia huku mtaani.
#Twende na Magufuli20/25#