englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
Huyu ndio Waziri wa kwanza mweusi kwenye historia ya Italia, aliolewa na Muitaliano miaka mingi iliyopita na kuhamia pamoja na kuchukua uraia wa Italia mwaka 1983.
Ubaguzi unapungua taratiiibu!! Thank God.
Ahaa! Mi nilidhani wamempa Mario Balloteli uwaziri wa michezo.
Sura yake kama vile anatokea Tanzania mkoa wa Singida!
Huyu ndio Waziri wa kwanza mweusi kwenye historia ya Italia, aliolewa na Muitaliano miaka mingi iliyopita na kuhamia pamoja na kuchukua uraia wa Italia mwaka 1983.
Andrew abel.Haijapata kukutokea ukiona mtu usiyemfahamu unamfananishafananisha? Mimi kwa kumtazamaHalafu umejuaje hebu atuambie mwenyeji wa wapi na historia yake kwa ujumla na anaitwaje?#