Wana JF, kwa sasa wazizi wa uatali Shamsa Mwangunga anajieleza bungeni baada ya mbungu wa Loliondo kuwasilisha hoja yake ya unyanyanyasaji wa wafugaji kule Loliondo - kweli anapumulia mashine kwani yupo out off kabisa anaomba muda uishe ili bunge liaoirishwe.
Mbunge wa wa Loliondo ana hoja 14 ambazo anataka majibu. Waziri hakika anajichanganya sana kiasi kwamba wabunge kuguna.
Ndio huyu mnataka awe mbunge badala ya Keenja haiwezekani uelewa wake ni mdogo sana, kang'anag'ania sana karatasi.
Mbunge wa wa Loliondo ana hoja 14 ambazo anataka majibu. Waziri hakika anajichanganya sana kiasi kwamba wabunge kuguna.
Ndio huyu mnataka awe mbunge badala ya Keenja haiwezekani uelewa wake ni mdogo sana, kang'anag'ania sana karatasi.