Nakumbuka alipo mwagiwa tindikali na kuwa ktk hali mbaya nilikua namuombea kuliko kujiombea....leo najuta...bora ange 想广 kabisa tu.ule umaarufu wa kujiamini, ujuzi, uhodari, uchapakazi wake woooteeee anaugeuza zero
Yaani amemsahau hata Bob Marley, kweli ulevi wa madaraka mbayaKachelewa sana mbona. Bushoke, Marlaw, Flora Mbasha, Diamond, TMK nk wameimba sana nyimbo za kuisifu CCM n kukandia upinzani, hioo sio siasa? Ama inaonekana ni siasa ikiwa zitaimbwa na Nay na Roma pekee!
Akijibu hoja ya Profesa Jay kuwa wasanii wakiimba nyimbo za siasa kuhihoji serikali wamekuwa wakinyanyaswa ila wakiimba nyimbo za kuisifia tu wanaachwa Mwakyembe amejibu kuwa wasanii hawatakiwi kuimba nyimbo za siasa na kama wanataka kuzungumzia siasa basi wagombee udiwani au ubunge.
Amesema hakuna mwanamuziki yoyote duniani aliyefanikiwa kwa kuikandia serikali, ametembelea nchi kama Nigeria na wasanii waliofanikiwa kama wakina P Square,Tiwa Savage, Davido ni wasanii wenye mafanikio lakini hawajapata mafanikio hayo kwa kuitukana serikali.
Muziki ni entaritainment industry na sio political Indusrty na hata Afrika Mashariki wasanii kama Chamilione na akina Diamond na Ali Kiba wana mafanikio lakini hawaimbi siasa.
Amemtolea mfano msanii mmoja Fella Ramson Kuti aliyeimba siasa na akaishia pabaya.
Akijibu hoja ya Profesa Jay kuwa wasanii wakiimba nyimbo za siasa kuhihoji serikali wamekuwa wakinyanyaswa ila wakiimba nyimbo za kuisifia tu wanaachwa Mwakyembe amejibu kuwa wasanii hawatakiwi kuimba nyimbo za siasa na kama wanataka kuzungumzia siasa basi wagombee udiwani au ubunge.
Amesema hakuna mwanamuziki yoyote duniani aliyefanikiwa kwa kuikandia serikali, ametembelea nchi kama Nigeria na wasanii waliofanikiwa kama wakina P Square,Tiwa Savage, Davido ni wasanii wenye mafanikio lakini hawajapata mafanikio hayo kwa kuitukana serikali.
Muziki ni entaritainment industry na sio political Indusrty na hata Afrika Mashariki wasanii kama Chamilione na akina Diamond na Ali Kiba wana mafanikio lakini hawaimbi siasa.
Amemtolea mfano msanii mmoja Fella Ramson Kuti aliyeimba siasa na akaishia pabaya.
Peleka huko u CCM wako, jamaa mbona kaeleweka vizuri tu ! Mifano hiyo inatosha , unataka aorodheshe wasanii wote ili iwe nini sasa !Wasanii uliotolea mifano ni wa chama kimoja vipi vile vya upinzani? Ney wa mitego ana maendeleo gani?msanii yupi ana maendeleo kisa alishabikia upinzani? Sanaa huwa na mwanzo na mwisho wake,ikibuma imebuma tu. Shamsa ford yupo cdm kitambo ila movie anazocheza hazina mafanikio,kuja wema nae ndo wale wale.
Ubunifu ziro kwenye sanaa zao
Nahisi na baadhi ya nywele zilinyoyoka na ubongo wake.maana nae siku hizi aishi matamko.Huyu mzee tangu aumwe ule ugonjwa wa kunyonyoka nywele simwamini tena!
Ndio maana kila wizara akipelekwa hadumu anabadilishwa. Nashangaa sijui mwenyewe hajitambui!!!!! Hata hivyo nadhani isingekuwa kuiepusha serikali ya awamu ya nne isianguke (kama alivyodai mwenyewe katika ripoti ya Richmond), muda huu angekuwepo kijijini akishiriki kuumia uchungu wa hali ya maisha.ule umaarufu wa kujiamini, ujuzi, uhodari, uchapakazi wake woooteeee anaugeuza zero