Waziri Mwakyembe ashushuliwa.


M.B.W.A. ni strategy mbovu ya kiutawala. Kuhusu watu kutofanya kazi, serikali ilipaswa kuhamasisha au kutumia nguvu. CCM kwa hili lazima tuwalaumu. Kuhusu CHADEMA kutafuta umaarufu kupitia matatizo, mi nawapongeza! CCM wanapaswa kutafuta umaarufu kwa kuchapa kazi! Hii ndo dhana ya MULTIPARTISM. Tafakari mkuu!
 
hivi alishaishughulikia kweli kama alivyoahidi?
 
Mwakyembe mbona anakuwa km mfa maji?Shirika la ndege la Taifa mbona hakikusumbui au umeshindwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…