Waziri Muhongo aomba chakula cha msaada Jimboni kwake, mkuu wa mkoa akataa kisitolewe

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Takribani wiki tatu zilizopita wilaya ya Musoma walitangaza kukabiliwa na njaa na kuomba kupewa chakula cha msaada, mbunge wa jimbo hilo amabaye ndiye waziri wa nishati na madini, Sospeter Muhongo aliafiki maombi hayo na kuagiza madiwani wampe taarifa za uhaba kwenye kata zao,




mkuu wa mkoa huo kakataa chakula cha msaada, kwa kuogopa kutumbuliwa
Yaani mtu anataka maelfu ya watu wateseke au wafe kwa njaa kwa ajili ya kutafuta sifa au kulinda maslahi yake
Hatari sana...

Capture.PNG
 
Ina maana Mhongo kama mjumbe wa baraza la mawaziri hajawahi kupeleka hoja kwenye vikao kuwa kuna baadhi ya maeneo kuna njaa.

Sasa naamini hawa viongozi wetu hawamwambii ukweli Mkulu. Pengine hawa hawa ndio wa kwanza kumjaza uongo kuwa kila kitu kiko sawa kumbe kimoyo moyo wanaumia kwa ushauri wao.
 
Mkuu wa mkoa ni tofauti na mbunge kwani mbunge amesema anataka kutoka kwenye akiba ya mkoa
 
Ina maana Mhongo kama mjumbe wa baraza la mawaziri hajawahi kupeleka hoja kwenye vikao kuwa kuna baadhi ya maeneo kuna njaa.

Sasa naamini hawa viongozi wetu hawamwambii ukweli Mkulu. Pengine hawa hawa ndio wa kwanza kumjaza uongo kuwa kila kitu kiko sawa kumbe kimoyo moyo wanaumia kwa ushauri wao.
Kwani yeyekasema kuwa ameambiwa ali ni shwari? Yeye anachosema ni kwamba ameona kwa macho yake kuwa majani ni ya kijani.
 
Hakuna waziri mnafiki na,mzandiki kama huyu. Utadhani mswahilimswahili tu. Yeye ndie alimfanya Kassim Majaliwa kas ipungue ile ishu ya flow mita baada ya kuwatonya Siri za baraza la mawaziri kuwa PM anakuja kugau kwasabab tu yule mama naibu pale kwenye flow mitre alikuwa mjita mwenzake asingekuwa mjita,mwenzake asingewashtua. Limejaa ukabila sana ndio maana afichi chuki kwa Mengi.

limbea sana naliongo wamepanga vizuri bei ya umeme kupanda hadi wakaridhia panoja na Sizonje halaf wakamfukuza mramba kwa aibu.

Si yeye lisomi litatue bas ishu ya msos jimboni mwake siyo kulialia hapa kama kindergarten graduate
Hehehehe dah
Tatizo elimu yake ya kuungaunga kama uncle tu halaf kutwa kujisifia
 
Hakuna waziri mnafiki na,mzandiki kama huyu. Utadhani mswahilimswahili tu. Yeye ndie alimfanya Kassim Majaliwa kas ipungue ile ishu ya flow mita baada ya kuwatonya Siri za baraza la mawaziri kuwa PM anakuja kugau kwasabab tu yule mama naibu pale kwenye flow mitre alikuwa mjita mwenzake asingekuwa mjita,mwenzake asingewashtua. Limejaa ukabila sana ndio maana afichi chuki kwa Mengi.

limbea sana naliongo wamepanga vizuri bei ya umeme kupanda hadi wakaridhia panoja na Sizonje halaf wakamfukuza mramba kwa aibu.

Si yeye lisomi litatue bas ishu ya msos jimboni mwake siyo kulialia hapa kama kindergarten graduate
hii nchi kuna watu wanatia hasira sana kujisifia wamesoma alafu yanakuja kuwa madependand kwa taifa badala taifa liwategemee shida kweli
 
Back
Top Bottom