EWURA YAPIGWA STOP NA WAZIRI MUHONGO:
Tumepokea taarifa za barua ya leo, 31 Dec 2016 kutoka kwa Prof Muhongo kwenda kwa DG EWURA ikisimamisha utumiaji wa bei mpya zilizotangazwa jana na EWURA.
Prof Muhongo ametumia madaraka aliyopewa na yako ndani ya Electricity Act, 2008.
Serikali haijapokea na kutathmini bei zilizopendekezwa na EWURA.
Uchumi wa viwanda unahitaji umeme wa bei nafuu.
VIVA TANZANIA
Tumepokea taarifa za barua ya leo, 31 Dec 2016 kutoka kwa Prof Muhongo kwenda kwa DG EWURA ikisimamisha utumiaji wa bei mpya zilizotangazwa jana na EWURA.
Prof Muhongo ametumia madaraka aliyopewa na yako ndani ya Electricity Act, 2008.
Serikali haijapokea na kutathmini bei zilizopendekezwa na EWURA.
Uchumi wa viwanda unahitaji umeme wa bei nafuu.
VIVA TANZANIA