Waziri mpya wa Elimu

Waziri mpya wa Elimu

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Je, ungependa nani awe warizi wa Elimu wa kasi ya rai JPM?

Hebu andika jina lake hapa kwa kupendekeza tuwajue wachapakazi waadilifu wa nchi hii.
 
Ateue tena! Kuna nimemkuta pale UDOM anaitwa Ludovick Kinabo ni Profesa ambaye hata wazungu wanamhusudu lakini haendekezi uzembe na Makungu...ni kazi tu
 
Dr. Joyce Ndalichako anafaa sana kuwa waziri wa Elimu. Pia ateuliwa katibu mkuu mwingine si huyo Prof Mchome.
 
Hii Wizara tangu kuanzishwa kwake aliiweza Waziri mmoja tu, marehemu Jackson Makweta, kwa wale waliokula chumvi ya kutosha kidogo wanaweza kukubaliana na mimi. Kwa sasa Wizara hii changamoto zake ni ngumu mno kuliko hata Wizara ya Fedha na Uchumi.
 
Hii Wizara tangu kuanzishwa kwake aliiweza Waziri mmoja tu, marehemu Jackson Makweta, kwa wale waliokula chumvi ya kutosha kidogo wanaweza kukubaliana na mimi. Kwa sasa Wizara hii changamoto zake ni ngumu mno kuliko hata Wizara ya Fedha na Uchumi.
ampe yule mzigo aliyekuwa wizara ya maji
 
Back
Top Bottom