Waziri mpya wa Elimu

Waziri mpya wa Elimu

Wampandishe huyo huyo manyanya awe waziri kamili halafu naibu wampe gratian mkoba
 
Wizara ya Elimu

Amteue Mama Ndalichako kuwa mbunge kisha WAZIRI.

Ana msimamo wa kuinua elimu ya waTz. Amesimania vizuri BARAZA LA MITIHANI, anao uwezo wa kufukia mashimo yaliyowekwa na akina BINAMU....
 
Hiyo nafasi kaachiwa mkoba wa cwt, kama hamuamini subirini
 
apewe PHILIP MLUGO tu, 7bu yeye ni mzoefu kwenye hiyo wizara. Alafu anajua mbinu za kuwafaulisha wanafunzi kwa kupunguza au kuondoa kabisa zero.
 
Naungana na wote wanaopendekeza Dr. Ndalichako ateuliwe kuwa Mbunge na kisha apewe hiyo Wizara ya Elimu. Ili kuendana na kasi ya utendaji wa Dr. Magufuli na Ndalichako, nashauri Prof. Mchome arudishwe SoL UDSM na pale ateuliwe Dr. Pdr. Kitima aliyekuwa VC wa SAUT. Ninaiona Wizara katika mwanga bora chini ya watu hawa hasa Kwa kuwa tayari kuna mwanasiasa (mpiga porojo Eng. Manyanya) hawa kazi Yao moja tu, KAZI.
 
Jems mbatia anafaa sana, akiwa anachangia mijadala ya kielimu huwa anaongea kwa machungu na kuongelea mambo ya msing rana namna ya kubadilisha mfumo wa elimu.
 
ingekuwa kumchagua mpinzani sio dhambi basi nafasi hiyo ingemfaa sana mh. mbatia, lakini kwa hali ilivyo naungana na wadau hapo juu kuwa huyu mama Joyce Ndalichako anafaa sana, kwa wale waliofanya kazi na huyu mama watakubaliana na mimi
 
Back
Top Bottom