Waziri Mpango: Ubinafsishaji wa Airtel kutoka TTCL, uligubikwa na ukiukwaji mkubwa wa Sheria, Kanuni na Taratibu

Mimi nilichonote tu-"kwasasa serikali inamiliki hisa 40"

kumbe hizo hisa hazikuibwa na watu kama tulivyoaminishwa mwanzo?,

maana walisema hisa zote ziliondoka kinyemela,
sasa kama bado kumbe tuna 40%.
Hizo 60 ziliondoka ondokaje,

kumbuka airtell ni kampuni iliyoundwa upya,
nisichojua ni kuwa wakati inaundwa ilikuwa 100% ya serikali,ama kuna watu binafsi waliinvest pesa yao kuanzisha airtell ,wakishirikiana na serikali
 
Ninachompendea JPM ni kufuatilia mambo anayoyaagiza. Jambo analitoa na mnaona mwisho wake.

Naiona harufu ya kunufaika kwenye Airtel kama tulivyonufaika kwenye Makinikia. Udumu JPM, polepole utaeleweka tu. Ili mradi unapigania watanzania historia itabaki kuwa mwalimu mzuri hata baada ya kumaliza muda wako.
20180111_172101.jpg
20180111_172459.jpg
 
Mzee wa papara na mkulupukaji alidhani atachukua airtel kirahisi...Kuendesha nchi Inahitaji busara
Daaah ila
Vyuma vimekaza
Ajabu!! Si walisema airtel ni ya serikali 100%?mbona tena wanataka kutudhulumu pasenti zetu 60 aisee!! Huyu mpango ni kuwadi wa mwizi?
 
Lakini yote haya yamefanyika chini ya Chama kimoja kilicho shika hatamu. Mara makinikia, mara vichwa vya treni vimeokotwa bandarini, mara magari kwenye kontena la mitumba yanguo, mara sijui airtel, shiiida kweli kweli.
 
Kila siku mnasema nchi inufaike na keki ila badala ya keki mnaleta mawe yaliyorembwa kama keki. Kwendeni huko!

Kwenye madini mumeleta vurugu tupu, TPA nako mkaharibu haribu. Sasa mnageukia makampuni ya biashara! The silent killers!
Mkuu sikutaka kuchangia katika mada hii,ila naomba kukuukkiza,yaliyokuwa yanatendeka bandarini wewe unayaafiki?
Hilo mosi pili yaliyokuwa yanatendeka kwenye secta ya madini na serikalini watumishi kujikatia hiyo keki ya taifa peke yao,bila kushirikiana na wenzi wao wewe ulikuwa unaafiki?
 
Mkuu na mimi hilo nimeliona na nilitaka kulisema pia. Au labda kwa kuwa ni nukuu ya alichosema mzungumzaji, ndiyo sababu wakalitumia kama lilivyosemwa!
Taasisi makini haiwezi kunukuu kila kitu aisee. Hakukuwa na ulazima kunukuu kitu ambacho unajua sio stahili.
 
Serikali imesema ubinafsishaji wa Kampuni ya Airtel uligubikwa na ukiukwaji wa heria, Kanuni na Taratibu. Mazungumzo kufanyika ili nchi ipate haki yake.

> Kwasasa Serikali inamiliki 40% ya hisa za Kampuni hiyo ambayo inamiliki 60% ya hisa zilizobaki

> Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Kabudi amewasilisha Kanuni za Sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 kama alivyotakiwa kufanya hivyo kabla ya Ijumaa na Rais Magufuli

> Vitabu na nyaraka hizo zimepokelewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi

Hivi alipoongea Mtendaji Mkuu wa TTCL hakutuambia kuwa Airtel ni yetu kwa 100%? Mwenyekiti wa Bodi naye akathibitisha hilo? Iweje leo tunaambiwa yetu ni 40% tu? Iweje tunaambiwa kuwa mazungumzo yatafanyika badala ya shauri kupelekwa mahakama ya biashara au hata mahakama za kawaida kuwashtaki wezi walio tuibia kwa muda mrefu?
 
Hilo tunafahamu! Tusichofahamu na ambacho tungependa kufahamu ni "what next!"

Kama ndo imeshatoka hiyo; tujuzane tu kiutu uzima manake misukule yenu huku bado inaishi kwa matumaini ya kuiona Tanzania kama Qatar!
Ndugu usitegemee Jipya nawasikitikia tu wadanganyika wengi wanavyoimbishwa mapambio
....mimi nilifikiri inapotoka Startment na waliohusika wamesharukiwa kumbe blah blah Work
 
Wahusika wa mambo hayo ya ovyo sana wakamatwe na kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo. Hamna haja ya kukurupuka, uchunguzi ufanyike kupata ushahidi usio na shaka
 
Serikali ya ccm Nikki a tu huyu Naye anataka kuiba Naye hivi barrick wameshatupa trillions 450
 
Back
Top Bottom