CHADEMAChini ya chama gani?
Hayo ndo maajabu! Unafanya mazungumzo na watu waliojimilikisha Mali ya umma kwa njia ya hovyo kabisa!! Business as usual!!!sasa mazungumzo ya nini kama kuna ushahidi kuwa taratibu zilikiukwa-nini maana ya serikali? unaanzaje kuzungumza na mhalifu?
mkuu umenichekesha sanaKila siku mnasema nchi inufaike na keki ila badala ya keki mnaleta mawe yaliyorembwa kama keki. Kwendeni huko!
Kwenye madini mumeleta vurugu tupu, TPA nako mkaharibu haribu. Sasa mnageukia makampuni ya biashara! The silent killers!
Adi sasa company zote za wazalendo zimesha porwa pesa za mitaji yao sijuwi tuna kwenda wapi wengine wameuza majengo yao ili kulipa pesa TRA !!Kila siku mnasema nchi inufaike na keki ila badala ya keki mnaleta mawe yaliyorembwa kama keki. Kwendeni huko!
Kwenye madini mumeleta vurugu tupu, TPA nako mkaharibu haribu. Sasa mnageukia makampuni ya biashara! The silent killers!
Upuuzi uliopitiliza maana ubinafisishaji ulifanywa na serikali ya CCM. Vipi mashirika mengine na hasarra tulizovuna?Serikali imesema ubinafsishaji wa Kampuni ya Airtel uligubikwa na ukiukwaji wa heria, Kanuni na Taratibu. Mazungumzo kufanyika ili nchi ipate haki yake.
> Kwasasa Serikali inamiliki 40% ya hisa za Kampuni hiyo ambayo inamiliki 60% ya hisa zilizobaki
> Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Kabudi amewasilisha Kanuni za Sheria ya Madini namba 7 ya mwaka 2017 kama alivyotakiwa kufanya hivyo kabla ya Ijumaa na Rais Magufuli
> Vitabu na nyaraka hizo zimepokelewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi
KabisaaYaani ukiwasililiza hawa CCM unaweza kudhania nchi hii ilikuwa chini ya CDM au chama kingine kwa miaka 56 iliyopita.
Haya ngoja tuone hicho chetu kwenye airtel. Hivi kwenye madini tumeshapata chetu?
Natania tu mjomba!
Nimeangalia taarifa ya habari nimeshangaaYaani hadi taarifa rasmi ya ikulu wanatumia maneno ya mitaani kama kuingizwa mkenge. Haya.
Vingapi tulivyopigwa ambavyo tumeshalipwa Umeshapata NOAH?
Hukuelewa taarifa za awali. Tafuta rejea kabla ya kuchangia hoja yako.Kuhusu hizo kanuni, hatujui ilikuwaje katika utawala huu wa ubabe wa JPM, imechukua miezi 7 kanuni hazijaandikwa. lazima kulikuwa na sababu kubwa na pengine ya msingi. lakini leo zimeandaliwa ndani ya siku mbili tatu. kuna siku tutajua sababu...
Kwaakili kama hizi sioni ni kwavipi wajinga mtaisha