dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Kwaakili kama hizi sioni ni kwavipi wajinga mtaishaNinachompendea JPM ni kufuatilia mambo anayoyaagiza. Jambo analitoa na mnaona mwisho wake.
Naiona harufu ya kunufaika kwenye Airtel kama tulivyonufaika kwenye Makinikia. Udumu JPM, polepole utaeleweka tu. Ili mradi unapigania watanzania historia itabaki kuwa mwalimu mzuri hata baada ya kumaliza muda wako.
View attachment 673133View attachment 673134