Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Sio airtel tu kuna mambo mengi mheshimiwa anataka ayaweke sawa. Blaablaa ni nyingi mno katika taifa hili changa. JPM kaza kamba
Hivi bwana mkubwa si alisema tunaichukua airtel sasa imekuwaje tena tujadiliane tupate haki..Kila siku mnasema nchi inufaike na keki ila badala ya keki mnaleta mawe yaliyorembwa kama keki. Kwendeni huko!
Kwenye madini mumeleta vurugu tupu, TPA nako mkaharibu haribu. Sasa mnageukia makampuni ya biashara! The silent killers!
Hilo nalifahamu sana! Hizi lugha za "lazima tuhakikishe Watanzania wanapata haki zao" tushazisikia sana enzi za Makinikia Season 1&2Ndugu usitegemee Jipya nawasikitikia tu wadanganyika wengi wanavyoimbishwa mapambio
....mimi nilifikiri inapotoka Startment na waliohusika wamesharukiwa kumbe blah blah Work
sasa mazungumzo ya nini kama kuna ushahidi kuwa taratibu zilikiukwa-nini maana ya serikali? unaanzaje kuzungumza na mhalifu?
Tunahitaji tuone watu wakifikishwa mahakamani na kutupwa jela kwa kuisababishia serikali hasara!!!!!!!!Kwenye hili la airtel nipo na serikali yetu. Kama pamepigwa lazima tulipwe chetu
Ukweli anaujua sanaSi awakamate Mkapa na Kikwete!!
Tunahitaji tuone watu wakifikishwa mahakamani na kutupwa jela kwa kuisababishia serikali hasara!!!!!!!!
Mm bado nasubiri hela za makanikia.Kwenye hili la airtel nipo na serikali yetu. Kama pamepigwa lazima tulipwe chetu
Nimesikiliza hotuba ya JPM, kwa hiyo nina taarifa kamili.Hukuelewa taarifa za awali. Tafuta rejea kabla ya kuchangia hoja yako.
imendikwa wapi?Nimesikiliza hotuba ya JPM, kwa hiyo nina taarifa kamili.