KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,902
- 9,323
Nchi yangu haina waziri Mkuu!
Niwapi nitapata waziri Mkuu kama E.Moringe??
Wapi nitapata Naibu waziri Mkuu Kama A.Lyatonga??
Waziri mkuu umepwaya sisikii ukikemea kwa vitendo zaidi yakukemea kwa maneno bila kuweka vitendo!!
Waziri Mkuu umekataa Sahangingi nilitegemea waliochini yako watapanda Prado wapi bwana Hata Wakurugenzi wanapanda kama lako ulilolikataa!!!
Hapa nchi ilipo fikia ndipo E.Moringe alisema naliwe nabadrika siasa za hawa ni wenzetu akaziweka kando!!wafujaji wa mali yaumma wakafukuzwa!!
Je wewe unasubiri Nini??
Kama wewe nimtoto wamkulima Vaa viatu vya E.Moringe leo uikwamue hii nchi!!
Niwapi nitapata waziri Mkuu kama E.Moringe??
Wapi nitapata Naibu waziri Mkuu Kama A.Lyatonga??
Waziri mkuu umepwaya sisikii ukikemea kwa vitendo zaidi yakukemea kwa maneno bila kuweka vitendo!!
Waziri Mkuu umekataa Sahangingi nilitegemea waliochini yako watapanda Prado wapi bwana Hata Wakurugenzi wanapanda kama lako ulilolikataa!!!
Hapa nchi ilipo fikia ndipo E.Moringe alisema naliwe nabadrika siasa za hawa ni wenzetu akaziweka kando!!wafujaji wa mali yaumma wakafukuzwa!!
Je wewe unasubiri Nini??
Kama wewe nimtoto wamkulima Vaa viatu vya E.Moringe leo uikwamue hii nchi!!